Nafasi za kazi utumish kazi ipo

mbaya zaidi interview Dar, kituo cha ajira Songea au Kigoma, muombaji yuko kijiji cha Mpitimbi Namtumbo Songea!!!!""
 
Mnaacha kutafuta visenti mnahangaika kutafuta kazi! utakufa bila kupata kazi, daah kweli yimbombo yilipo!
 
Tafuteni mtapata tu, ama kama vipi njooni kwenye ualimu, ajira bwereree
 

sidhani kama kuna ukweli sana katika hili!,
shirika la posta kama shirika linafanya kazi/biashara nyingi tu ukiacha na kutuma/kupokea barua ambazo linaliingizia shirika kipato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…