nilitamani sana kuichapisha yote lkn niko tight sana boc ila najuwa watu kama wewe unaweza kuimalizia kama hauko tight au cio...duh,ndg inaonesha elements za 'uvivu'.at least ungeweka tarehe ya mwisho wa kutuma maombi,qualifications wanazohitaji katika hizo posts na details nyingine muhimu.kwani si wote wenye access ya hilo gazeti la nipashe.so please,kama unataka kufanya kitu(in this case kuhabarisha) basi ukifanye kwa umakini na ukamilifu.ni hayo tu,otherwise 10x for the alert.
Mwana nakupa big up mkubwa coz ndo tunaelekea kumaliza chuo so ukipata detail we tupe m2 wangu wengine kusoma magazeti wavivu sana.
Mwana nakupa big up mkubwa coz ndo tunaelekea kumaliza chuo so ukipata detail we tupe m2 wangu wengine kusoma magazeti wavivu sana.