Kumbe tuna hata chuo cha mipango mbona mipango haitimii?
Kumbe tuna hata chuo cha mipango mbona mipango haitimii?
Mkweli weweHalafu kuna mtu alishaleta mada humu humu JF kuwa Serikali haiajiri walimu! Nashangaa sana na watu wanaoleta habari za uongo. Najiuliza, aliyeleta hii mada au yule aliesema Serikali hawana fedha ya kuajiri, yupi ni mkweli?
Kumbe tuna hata chuo cha mipango mbona mipango haitimii?
<br />Mipango ya chuo hiki haiwezi kutimia kwani hakiendeshwi kitaaluma; kingekuwa kinaendeshwa kwa kujali taaluma kisingekuwa na mwenyekiti wa baraza la chuo mwenye cheti cha FORM FOUR!! Qualification iliyomfanya apate cheo hicho ni kuwa anatoka BWAGAMOYO!! What crap!