Nafasi za kazi za mining engineering

MKANDAHARI

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
5,727
Reaction score
6,615
Habari zenu wadau! nawaombeni kwa mtu yeyote anaefahamu sehemu zenye nafasi za kazi za Migodini naombeni mnijuze manake nisha-fight lakini hali bado ni tete! nina DIPLOMA IN MINING ENGINEERING!! naweza chapa kazi for all SURFACE and UNDERGROUND Mines!! Natanguliza shukrani!!
 
Usihofu kijana,endelea kutafuta pia jaribu kucheki magazeti mara kwa mara hua naona Barrick wakitangaza,mara nyingine huwa wanahitaji watu wa diploma na technicians
 

jaribu kuwasiliana na meneja mahusiano mgodi mpya bukombe unaweza ukafanikisha ila pesa mkononi hakuna kaz ya bure all the best 0769560479
 
barick gold mining kuna nafasi za kazi nyingi sana, check mwananchi la tarehe 03/05/2012
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…