Nafasi za kazi za Ualimu

imma.one

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
542
Reaction score
37
Tuna nafasi za walimu kwa level zote kuanzia Nursary hadi form six.
Kwa maelezo zaidi
piga simu
number
0773910857
0713810857
 
Oya ongeza maelezo kidogo bac wa2 wengine ha2na credit za kutosha bana.
 
Nini maana yake kutuwekea namba zisizopokelewa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ok samahani kwa kuwa maelezo hayajitoshelezi.
Nafasi za Ualimu zipo kwa mkoa Dar es salaam.
Walimu wa ngazi:- Awali,Msingi na sekondary.
Nyote mnakaribishwa
 
mbona shule hujasema n shule gani utuwekea namba za cmu kaka, yawezekana ikawa shule ikawa chanika cc 2tajueje weka full information
 
jamaa nimempigia cmu amepokea nimemuuliza hyo shule ipo wapi amesema wapo magomeni mapipa lakini akasema hyo pale hakuna shule wanachokifanya wao ni kukuunganisha na shule kwakifupi wao ni madalali wa kuwatafutia wa2 kazi za ualimu..dah kwel tz n noma mpaka kazi za uwalimu zna udalali nchi imekwisha bora kutafuta eneo na kuuanzsha mashamba ya mbogamboga2
 
Jamaa wanatafta maticha afu kuna wa2 wanazunguka mashuleni kuangalia nafas za kaz thn wanawmdirect huyo ticha afu kuna kiac shule inawagaia
 
Jamaa wanatafta maticha afu kuna wa2 wanazunguka mashuleni kuangalia nafas za kaz thn wanawmdirect huyo ticha afu kuna kiac shule inawagaia

teh,teh teh,shida hizi..me nikajua jamaa ndo wadosi wenyewe,kumbe nao ni madalali!
 
Ok samahani kwa kuwa maelezo hayajitoshelezi.
Nafasi za Ualimu zipo kwa mkoa Dar es salaam.
Walimu wa ngazi:- Awali,Msingi na sekondary.
Nyote mnakaribishwa
Mpaka sasa maelezo hayajitoshelezi kwani ha2jui shule ipo wapi na inaitwaje acheni usanii au mnatafuta watu wa kuwapigia simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…