Mjomba ni Mama
Member
- Jun 25, 2015
- 69
- 32
Wamekuwa vinara wakutangaza nafasi za kazi na sijawahi ona mtu ameitwa kazini je kuna mtu amewahi pata kazi kwa hawa jamaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nimuulize HR wao asee.[emoji1787][emoji1787]wamekuwa vinara wakutangaza nafasi za kazi na sijawahi ona mtu ameitwa kazini je kuna mtu amewahi pata kazi kwa hawa jamaa?
Daaa maana haipiti wiki mbili lazima watoe matangazo ya kazi ila sijawahi sikia mtu akisema kapata au hata kuitwa interview.Ngoja nimuulize HR wao asee.[emoji1787][emoji1787]
Na nafasi zao wanakwambia vigezo kuanzia form 4 lakini wadau hawapati sijui nini tatizo huu ni ubabaishaji wa hali ya juu.Hao kazi zao bila connection hupati Kitu.
Ninawajua A to Z wakitaka ushahidi tutaweka
Ni Kama IRC(international rescue committee)Wamekuwa vinara wakutangaza nafasi za kazi na sijawahi ona mtu ameitwa kazini je kuna mtu amewahi pata kazi kwa hawa jamaa?
Kumbe nao ni ovyoNi Kama IRC(international rescue committee)