Nafasi za kazi

Acha Dhambi

Senior Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
145
Reaction score
41
kwa wale wanaotafuta kazi njooni tufanye kazi katika muda wetu wa ziada kadri hunavyofanya kazi ndivyo kipato kinaongezeka njoo TIENS Msasani karibu na shule ya msingi msasani B njoo j5 saa 5 kwa mawasiliano piga +255718064602
 
Kazi ya aina gani, jinsia gani,umri wa miaka mingapi jibu tafadhali?
kazi ya kujiajili mwenyewe lakini kampuni inakulipa kwa kazi yako na utapata elimu ya namna ya kuifanya kwa njia ya mtandao (MLM) haijalishi umri elimu wala njinsia ni kwa yeyote. njoo j5 usikilize
 
Lakini pia ni kazi,so usichague na kwa nini uhisi,kajionee mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…