itagata
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 210
- 71
Wana JF
Mimi ni mmojawapo wa watu waliomaliza Diploma mwezi June mwaka huu, na mpaka matokeo yanatoka tayari muda wa kuomba kupitia mfumo wa CAS, ulioendeshwa na TCU ulikuwa umepita, sasa napenda kuwauliza wadau kama kuna mtu ana taarifa za sisi kupewa nafasi nyingne ya kuomba kujiunga na masomo ya shahada mwaka huu.
naomba mwenye taarifa anijuze maana mtaani hakufai ni bora kurudi shule kuongeza elimu.
Mimi ni mmojawapo wa watu waliomaliza Diploma mwezi June mwaka huu, na mpaka matokeo yanatoka tayari muda wa kuomba kupitia mfumo wa CAS, ulioendeshwa na TCU ulikuwa umepita, sasa napenda kuwauliza wadau kama kuna mtu ana taarifa za sisi kupewa nafasi nyingne ya kuomba kujiunga na masomo ya shahada mwaka huu.
naomba mwenye taarifa anijuze maana mtaani hakufai ni bora kurudi shule kuongeza elimu.