Nafasi za kuingia bachelor kwa waliomaliza diploma 2012, NACTE na TCU mtatupa nafasi?

Nafasi za kuingia bachelor kwa waliomaliza diploma 2012, NACTE na TCU mtatupa nafasi?

itagata

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2011
Posts
210
Reaction score
71
Wana JF

Mimi ni mmojawapo wa watu waliomaliza Diploma mwezi June mwaka huu, na mpaka matokeo yanatoka tayari muda wa kuomba kupitia mfumo wa CAS, ulioendeshwa na TCU ulikuwa umepita, sasa napenda kuwauliza wadau kama kuna mtu ana taarifa za sisi kupewa nafasi nyingne ya kuomba kujiunga na masomo ya shahada mwaka huu.

naomba mwenye taarifa anijuze maana mtaani hakufai ni bora kurudi shule kuongeza elimu.
 
Tcu wanamfumo mbovu sana! Ila ndugu kaangalie hata kwenye jeshi la wananchi wa tz! Unaweza pata kazi!
 
Mim ni f6 liva! Oya itagata kama umemaliza fani za sc,manunuzi,uhasibu omba jeshini maana huwa wanatakaga watu wny ujuzi
 
Mim ni f6 liva! Oya itagata kama umemaliza fani za sc,manunuzi,uhasibu omba jeshini maana huwa wanatakaga watu wny ujuzi

Sijahitimu mojawapo ya fani ulizotaja hapo juu, mie nimehitimu Diploma in Development Planning
 
Wana JF

Mimi ni mmojawapo wa watu waliomaliza Diploma mwezi June mwaka huu, na mpaka matokeo yanatoka tayari muda wa kuomba kupitia mfumo wa CAS, ulioendeshwa na TCU ulikuwa umepita, sasa napenda kuwauliza wadau kama kuna mtu ana taarifa za sisi kupewa nafasi nyingne ya kuomba kujiunga na masomo ya shahada mwaka huu.

naomba mwenye taarifa anijuze maana mtaani hakufai ni bora kurudi shule kuongeza elimu.

fuatilieni vizuri yaani kila kitu walieleza kwenye website yao na watu wakaelewa kabisa sijui mkuu uliona uvivu kuperuzi? kwa wanafunzi waiomaliza diploma matokeo yao yalikuwa yanatoka kabla ya mwezi wa tano wanaweza kuomba kusoma kupitia TCU ila wengine woote watakaomaliza baada ya hapo watasubiri mwakani kuomba kupitia TCU tangazo hili lilkuwepo kwenye website ya TCU toka february 2012. nilikuwa nafuatilia hili maana kuna mdogo wangu huko nae amemailza diploma ndio nikayajua haya.
 
Jamani si hua kuna second application??
 
fuatilieni vizuri yaani kila kitu walieleza kwenye website yao na watu wakaelewa kabisa sijui mkuu uliona uvivu kuperuzi? kwa wanafunzi waiomaliza diploma matokeo yao yalikuwa yanatoka kabla ya mwezi wa tano wanaweza kuomba kusoma kupitia TCU ila wengine woote watakaomaliza baada ya hapo watasubiri mwakani kuomba kupitia TCU tangazo hili lilkuwepo kwenye website ya TCU toka february 2012. nilikuwa nafuatilia hili maana kuna mdogo wangu huko nae amemailza diploma ndio nikayajua haya.

mkuu UKI nilisikia watu wenye diploma wanaotaka kuapply vyuo walitakiwa wakavisajili vyeti vyao NACTE. je,uliisikia hii taarifa?
 
Last edited by a moderator:
mkuu UKI nilisikia watu wenye diploma wanaotaka kuapply vyuo walitakiwa wakavisajili vyeti vyao NACTE. je,uliisikia hii taarifa?


hii niliisikia ila ninavyoelewa mimi ni kwa wale ambao wenye vyeti tayari mkuu na kumbuka ukimaliza cheti kinatoka baada ya miezi miwili wengine zaidi. halafu sijui kama zoezi hilo lilifanyika kwa wanachuo au lah ila ninavyojua necta na tcu wanashirikiana kwa kupata data sahihi na kwa kupitia chuo husika kufanya uhakiki kama kweli ulisoma hapo au lah.
 
Back
Top Bottom