Nafasi za kusomea Masomo ya AMO na ADO

Nafasi za kusomea Masomo ya AMO na ADO

Lekanjobe Kubinika

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2006
Posts
3,019
Reaction score
579
Jamani, wale wataalam wa afya kama Dental Therapists na Clinical Officers wanataka kusoma ADO au AMO mwaka huu wasibweteke kuomba shule Kusoma ADVANCED DIPLOMA.
Application zote zipo kupitia website ya NACTE. Naambiwa inaenda hadi July maombi hayo yatatapofungwa. Tafuta kozi unayotaka kutokea hukohuko kuliko kwa walioko kazini au mwenye jamaa yake anayetaka kuongea value ya utumishi wake.

Kwa DT tafuta ADVANCED DIPLOMA IN CLINICAL DENTISTRY. Kwa Clinical Officers tafuta kozi ya ADVANCED DIPLOMA IN CLINICAL MEDICINE.

Kisha fuata maelekezo. Au wasiliana nao kwa anuai walizoweka hapo.
 
Back
Top Bottom