Nafasi za Masomo Vyuoni Kupitia Michezo

Nafasi za Masomo Vyuoni Kupitia Michezo

TingTing

Member
Joined
Dec 20, 2009
Posts
92
Reaction score
4
Wanajamii;

Iwapo kama kuna mtu anamjua mtu yeyote aliyemaliza form four na amefaulu, na huyo mtu ni mwanamichezo wa; mpira wa miguu, mpira mikono, mpira wa kikapu au riadha basi awasiliane na mie kupitia email; declanstz@gmail.com ili kujaribu kuwasaidia watu hawa waweze kupata nafasi za masomo kupitia michezo katika vyuo mbali mbali. Kuna vyuo vitatu ambavyo wako tayari kutoa scholarships kwa wanamichezo wazuri iwapo watakuja kufanya majaribio au watatuma video zao ili wafanyiwe tathmini kabla ya kuitwa majaribio na vyuo hivyo.

tommie
 
Back
Top Bottom