Tumuombe Mungu tu kaka hata mimi nasubiri,point ya msingi kuwa mvumilivu kwani mvumilivu hula mbivu,kaka tetesi ni kwamba wiki hii wanaweza wakatoa tusubiri tu.
Kwa taarifa nilizopata Jana poct hizo huenda zikatoka tar 15/08 au 16/08 namajina yatakuwepo kwenye gazeti la habari Leo kwani na majina ya usahili wa J la polisi yatawekwa tar 15/08 kwenye gazeti hilo yan kesho
Kwa taarifa nilizopata Jana poct hizo huenda zikatoka tar 15/08 au 16/08 namajina yatakuwepo kwenye gazeti la habari Leo kwani na majina ya usahili wa J la polisi yatawekwa tar 15/08 kwenye gazeti hilo yan kesho