Ndugu wanajamiiforum;
Nimepitia kwenye website ya 'MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING' pamoja na ile ya NACTE nikakutana na majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kozi za ualimu ordinary diploma ambao wanatakiwa kuanza kuwasili sehemu husika walikopangiwa leo tarehe 01-06-2015.
Naomba tafadhali msaada kwa wadau wenye kujua hili kama kuna kuna awamu nyingine ya kutuma maombi ndani ya mwaka huu ili nasi tuweze kutuma maombi kwani nimemaliza mwaka jana 2014 kidato cha NNE na kufanikiwa kupata GPA 1.3 PASS. Kwa matokeo hayo ni wazi kabisa sitapata nafasi kidato cha tano hivyo nikafanya uamuzi wa kutuma maombi ualimu ingawaje jana nilipoingia website ya MoEVT na NACTE nikakutana na tangazo hilo.
Please nahitaji sana msaada wenu kama kuna nafasi tena ya kutuma maombi mwaka huu na MUNGU atawabariki.
Nawatakia kazi njema ya ujenzi wa taifa la JMT.
Nimepitia kwenye website ya 'MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING' pamoja na ile ya NACTE nikakutana na majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kozi za ualimu ordinary diploma ambao wanatakiwa kuanza kuwasili sehemu husika walikopangiwa leo tarehe 01-06-2015.
Naomba tafadhali msaada kwa wadau wenye kujua hili kama kuna kuna awamu nyingine ya kutuma maombi ndani ya mwaka huu ili nasi tuweze kutuma maombi kwani nimemaliza mwaka jana 2014 kidato cha NNE na kufanikiwa kupata GPA 1.3 PASS. Kwa matokeo hayo ni wazi kabisa sitapata nafasi kidato cha tano hivyo nikafanya uamuzi wa kutuma maombi ualimu ingawaje jana nilipoingia website ya MoEVT na NACTE nikakutana na tangazo hilo.
Please nahitaji sana msaada wenu kama kuna nafasi tena ya kutuma maombi mwaka huu na MUNGU atawabariki.
Nawatakia kazi njema ya ujenzi wa taifa la JMT.