Nafasi za Ualimu wa Kemia, Baiolojia, Historia na Jografia Shule ya Jifunzeni Mbeya

Nafasi za Ualimu wa Kemia, Baiolojia, Historia na Jografia Shule ya Jifunzeni Mbeya

Impactinglife

Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
41
Reaction score
99
Urgent call: Wanahitajika walimu wawili mmoja wa somo la KEMIA NA BAIOLOJIA na mwingine HISTORIA NA JOGRAFIA.

NGAZI YA ELIMU: Awe na shahada ya Ualimu.

VIGEZO: Mwalimu mahili na mbobevu kwenye SoMo lake na mwenye uzoefu WA kutosha kufundisha KIDATO CHA KWANZA HADI CHA SITA.

MAHALI: MBEYA MJINI JIFUNZENI HIGH SCHOOL.
SIKU YA INTERVIEW : JUMAMOSI TAREHE 6 MWEZI WA 7 2024

MSHAHARA: SCALE YA SERIKALI

MAWASILIANO: 0655087675
 
Mbobevu humpati atakua tayari yuko na mkataba kwingine ,fungua milango vijana waje damu changa wafanye yale yanayotakikana watazoea mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom