Nafasi za Ualimu

Lilian Wasira

Member
Joined
Nov 13, 2012
Posts
86
Reaction score
93
Nafasi za Ualimu shule ya English Medium(Nur& Pr)
Natangaza nafasi za ualimu katika shule ya Queens' Academy iliyopo Ukonga Sitakishari. Shule hii kwa miaka miwili mfululizo imepasisha watoto wote na imepewa cheti cha ushindi. Wale wenye uwezo na uzoefu wa kufundisha na pia wale wenye watoto tuwasiliane kupitia namba 0719 604156. " In the Course of Pursuing Exellence We Lead"​
 
Mnataka mwalimu mwenye qualifications gani, kwa malipo gani? Nina mtu anayeweza kuwa tayari kufanya hiyo kazi but nataka nijue kwanza terms
 
mimi nimesubir ajira serikalini weeee,nimeona hazitoki ni bora nifanye hata hiyo ya kufundisha watoto,maaana duh!
 
Ni bora ungeweka wazi ni idadi ipi ya walimu unayoihitaji mkuu kwa sababu kuna wababaishaji wengi sana siku hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…