asante mkuu ila tunaomba utusaidie email ya hapo mgodini kwani hiyo ulioitoa ni ya makao makuu yao na email hiyo ni ngum sana kupata kazi kwani maombi hayo yanapitia dar mimi naifaham ni email ya migodi karibu 4. najua unatujali tusaidie email ya hapo mgodini au ya mhusika kabisa tutashukuru sana mkuu
operators wa plant au underground machines?dadavua mkuu.
wadau mgodi wa tulawaka wametangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo
- operators (post 10)
- security (post 15)
- supervisor (post 7)
wenye vigezo kazi kwenu tumeni kwa email hii
applydar@barrick.com au mawasiliano zaidi 0766920604
mwisho wa kutuma maombi ni 30/6/2012
wakuu nimeshindwa kuliscan tangazo lote sababu nimeliona wakati naingia kazin asubuhi na mda wa kutoka nijioni imebedi niwape kwa ufupi tu ila kwa maelezo nimewaibia hiyo namba muwasiliane na mhusika mkuu
tusaidianeni jamani maisha ni magumu kitaaa.
asante mkuu ila tunaomba utusaidie email ya hapo mgodini kwani hiyo ulioitoa ni ya makao makuu yao na email hiyo ni ngum sana kupata kazi kwani maombi hayo yanapitia dar mimi naifaham ni email ya migodi karibu 4. najua unatujali tusaidie email ya hapo mgodini au ya mhusika kabisa tutashukuru sana mkuu
Ulishatuambia mdogo wako aliombwa lak 1 na HR na akamwambia akianza kazi ampe lak 2 (kwa mujibu wa post yako ya tar. 26/04/2012 saa 12:20 kwenye uzi wa "kazi mgodi mpya).
Vp leo mbona unafuatilia tena kazi hiz et hiyo email unaifahamu ni ya makao makuu. Na umeanza kuchangia uzi huu saa 1 baada ya Musa John kuupost hapa JF.
Ninyi inaonekana ni ki2 kimoja.
Naendelea kufanya uchunguzi.
Kama wezi mtajulikana 2.
ukiniuliza hilo swali siwezi kujibu tangazo hilo lilibandikwa kahama nadhan kama kuna mkazi wa kahama hum atakua shahidi karibia kila nguzo ya umeme nyumba za biashara kulikua na tangazo hilo, sijui kosa nikuwajulisha au kosa kuliweka hum sina taarifa zozote sababu niliona tangazo ni nikalileta hum ndani
ukiniuliza hilo swali siwezi kujibu tangazo hilo lilibandikwa kahama nadhan kama kuna mkazi wa kahama hum atakua shahidi karibia kila nguzo ya umeme nyumba za biashara kulikua na tangazo hilo, sijui kosa nikuwajulisha au kosa kuliweka hum sina taarifa zozote sababu niliona tangazo ni nikalileta hum ndani
Mmeshapewa tip, acheni uvivu vijana! Mnashindwa kuingia kwenye website yao na kuchukua namba ama kuwatumia email ku-inquire? Mnaweza kutuma email pia ya recruitment mtakayoona kwa web! Kama ni issue ya kitapeli yeye ajulie wapi, kwani ana recruitment agency?
Hivi yule mama HR 'mkuda mkuda' bado yupo Tulawaka? migodi inaharibiwa sana na hawa ma HR 'wakibongo' wasio na qulifications
yule mama alishaondoka mkuu,hr ni mzungu,wasaidizi ni wabongo,msidanganyike hakuna kazi tulawaka.