Jamani mie nimeanza kutengeneza bunduki, nilianza tangu mwaka 2009 kwa kuandaa mchoro but now nimeanza kuunga pole pole but nahisi itakua na mlio mkubwa sana maana nimekosa utaalamu wa kupoza mlio, tayari nimeanza kushughulikia Kibali na nimeshafikia hatua nzuri na mchoro nilipeleka kunakohusika. Nategemea miaka 3-5 ntakua nimekamilisha wakuu. Ni bunduki nzuri sana na itakua na uzito wa around 5.8kgs ukiwa full magazine (risasi 19x2=38)