blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Sasa hivi CCM inazungumzwa kila mahali kwenye mitandao, mashambani, maofisini na hata kwenye mikutano ya wapinzani wenyewe wanaizungumza CCM.
KATIKA hili wacha tukipongeze kitengo cha propaganda.
Sio kwamba mtaani hakuna njaa, Ila Kuna namna hakuna jinsi Tena.
Sasa sijui kimetokea Nini.!? Kumbuka ktk siasa hata kuzungumziwa hata kwa mabaya kunakuweka mainstream.
CHADEMA mko wapi!?
Hakuna namna Tena. Mama mi5 Tena.
KATIKA hili wacha tukipongeze kitengo cha propaganda.
Sio kwamba mtaani hakuna njaa, Ila Kuna namna hakuna jinsi Tena.
Sasa sijui kimetokea Nini.!? Kumbuka ktk siasa hata kuzungumziwa hata kwa mabaya kunakuweka mainstream.
CHADEMA mko wapi!?
Hakuna namna Tena. Mama mi5 Tena.