Fisher_8
Member
- Jul 26, 2019
- 80
- 225
Salamu kwenu,
Hivi wakuu itakuwa nawavunjia heshima wazazi nikiamua kubadili jina? Mzee alikwishaga tangulia mbele za haki, kabaki mama tu.
Kipindi cha zamani hata wakati baba yupo mama aliwahi nigusia kuwa jina nililopewa yeye wala alikuwa hakilipenda ila ni vile mzee alishalipangaga hata kabla sijazaliwa.
Nikiri hata mimi binafsi jina nililopewa silipendi pia ingawa ni la kinabii. Nataka kufuata taratibu nilibadili. Na ukizingatia bado kitambulisho cha utaifa sina.
Pia cheti cha kuzaliwa sina. Nilitaka mchakato niuanzie wakati nafatilia hivyo vitu.
Hivi wakuu itakuwa nawavunjia heshima wazazi nikiamua kubadili jina? Mzee alikwishaga tangulia mbele za haki, kabaki mama tu.
Kipindi cha zamani hata wakati baba yupo mama aliwahi nigusia kuwa jina nililopewa yeye wala alikuwa hakilipenda ila ni vile mzee alishalipangaga hata kabla sijazaliwa.
Nikiri hata mimi binafsi jina nililopewa silipendi pia ingawa ni la kinabii. Nataka kufuata taratibu nilibadili. Na ukizingatia bado kitambulisho cha utaifa sina.
Pia cheti cha kuzaliwa sina. Nilitaka mchakato niuanzie wakati nafatilia hivyo vitu.