Nafikiri nilikosea kusoma degree ningeishia form four

Nafikiri nilikosea kusoma degree ningeishia form four

Annonymous

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2013
Posts
688
Reaction score
1,126
Nna miaka 30 kuna mtu pia ana miaka 33.

WOte wamemaliza degree 2017/19 hawa watu wanapiga mishe za hapa na pale mitaani (vibarua) wakisubiri ajira za ualimu waajiriwe.

Kuna jamaangu mmoja leo kaamka kapita kunisalimia agongee chai
akaanza hoja, Dah maisha sijui nliyakosea wapi. Yani mishe haziendi kabisa hadi kupata elf2 ndani ya saa24 ni mtiti.

Namsikiliza tu. Kaongea mengi kweli ila kwa ujumla akasema amepoteza jumla ya miaka 2 ya form 5&6
Miaka 3 degree
Miaka 8 kupiga vibarua vya laki 1 na laki 2 za kufundisha na kujitolea mashule 12 aliyofanya kazi

Jamaa ana familia leo kaja kunywa chai geton kwangu sijui home kwake mke na watoto wamekula nn asbh. Mwingine mlokole namjua ila mpk leo ana siku ya 16 anafunga kubana bajet ale usiku tu alale

Nafikiri shule sikuhizi haina umuhimu. Mladi tujue kusoma na kuandika kisha twende veta kusomea ufundi turudi mtaani kujiajili ila haya ya form 1-4, 5&6, degree labda hizi zinafaa marekani na dubai sisi tanzania technical skills ndio zinatufaa
 
Nna miaka 30 kuna mtu pia ana miaka 33.

WOte wamemaliza degree 2017/19 hawa watu wanapiga mishe za hapa na pale mitaani (vibarua) wakisubiri ajira za ualimu waajiriwe.

Kuna jamaangu mmoja leo kaamka kapita kunisalimia agongee chai
akaanza hoja, Dah maisha sijui nliyakosea wapi. Yani mishe haziendi kabisa hadi kupata elf2 ndani ya saa24 ni mtiti.

Namsikiliza tu. Kaongea mengi kweli ila kwa ujumla akasema amepoteza jumla ya miaka 2 ya form 5&6
Miaka 3 degree
Miaka 8 kupiga vibarua vya laki 1 na laki 2 za kufundisha na kujitolea mashule 12 aliyofanya kazi

Jamaa ana familia leo kaja kunywa chai geton kwangu sijui home kwake mke na watoto wamekula nn asbh. Mwingine mlokole namjua ila mpk leo ana siku ya 16 anafunga kubana bajet ale usiku tu alale

Nafikiri shule sikuhizi haina umuhimu. Mladi tujue kusoma na kuandika kisha twende veta kusomea ufundi turudi mtaani kujiajili ila haya ya form 1-4, 5&6, degree labda hizi zinafaa marekani na dubai sisi tanzania technical skills ndio zinatufaa
usisome kufuata mkumbo, mtoto wa fulan kasoma ualimu kapata ajira , nenda na ww mwanang ukasome utapata ajira , sijui huwa mnahisi hapa kati mpo chuo hakuna watu wanamaliza kweny hzo kozi ?


mimi nliamua kwenda chuo X nkapiga dip kisha nkapata chimbo kwa 750k na accomodation ya kula kulala na nauli

baadae nkaenda jiongeza baada ya kupata kozi yenye soko , nkapiga degree

ila watz weng mnafanya kosa kusoma kwa kufuata level na sio kufuata malengo

nkupe sample ya kozi bado zina soko kwa mtoto wa mkulima

1.Physiotherapy
2.Occation therapy
3.TATCOT
4.Optometry

hizi ni koz za dip bado zina soko na kwa mwaka wanatoka wanafunzi wachache , japo baada ya miaka 5 nazo zitakuwa na watu wengi mtaani maana vyuo vya hii koz vimeanza ving tangu mwaka 2023
 
Hapo labda nyumbani ana mke na mtoto na alikua na hela ya kununua mandazi mawili tu, ikabidi aiambie familia kuwa mi sinywi chai kadanganya ameshiba, ili familia igonge chai alafu ye kaja kugongea kwako

Na bado anasubiriwa na mateso ya uzeeni, maana mtoto akikua anasema nani kama mama, anamjengea nyumba mama yake we mzee anakutelekeza anasema ulikua hauna muda na familia.
 
Hapo nyumbani ana mke na mtoto na alikua na hela ya kununua mandazi mawili tu ikabidi aiambie familia kuwa mi sinywi chai kadanganya ameshiba ili familia igonge chai alafu ye kaja kugongea kwako, alafu bado uzeeni mtoto akikua anasema nani kama mama anamjengea nyumba mama yake we mzee anakutelekeza anasema ulikua hauna muda na familia.
Kufuga kuku. mbuzi. Ngombe na kulima ni.kazi.ngunu.kiasi cha.kwamba watu wazima wanatekekeza.familia?.TZ.tu.wajinga sana nendeni usukumani vijinini mkajifunze maisha bila kuajiriwa
 
Tulikosea kumchagua Jiwe, asha haribu mfumo mzima wa ajira , ki ujumla chama tawala kishachoka tunahitaji ushindani katika siasa
 
Nna miaka 30 kuna mtu pia ana miaka 33.

WOte wamemaliza degree 2017/19 hawa watu wanapiga mishe za hapa na pale mitaani (vibarua) wakisubiri ajira za ualimu waajiriwe.

Kuna jamaangu mmoja leo kaamka kapita kunisalimia agongee chai
akaanza hoja, Dah maisha sijui nliyakosea wapi. Yani mishe haziendi kabisa hadi kupata elf2 ndani ya saa24 ni mtiti.

Namsikiliza tu. Kaongea mengi kweli ila kwa ujumla akasema amepoteza jumla ya miaka 2 ya form 5&6
Miaka 3 degree
Miaka 8 kupiga vibarua vya laki 1 na laki 2 za kufundisha na kujitolea mashule 12 aliyofanya kazi

Jamaa ana familia leo kaja kunywa chai geton kwangu sijui home kwake mke na watoto wamekula nn asbh. Mwingine mlokole namjua ila mpk leo ana siku ya 16 anafunga kubana bajet ale usiku tu alale

Nafikiri shule sikuhizi haina umuhimu. Mladi tujue kusoma na kuandika kisha twende veta kusomea ufundi turudi mtaani kujiajili ila haya ya form 1-4, 5&6, degree labda hizi zinafaa marekani na dubai sisi tanzania technical skills ndio zinatufaa
Bora ungeishia la saba B, what is biology inakusaidia nini?
 
Tulikosea kumchagua Jiwe, asha haribu mfumo mzima wa ajira , ki ujumla chama tawala kishachoka tunahitaji ushindani katika siasa
ttz watz wengi mmerundikana kwenye common courses , mwishowe mwajiri haez waajili watu wote kwenye nafasi moja

kuna koz nying huwa mnazipita na hizo kozi watu wanapata kaz mseleleko
 
Back
Top Bottom