Nafikiri teuzi nyingi hazifanywi kwa umakini, hazina malengo ya muda mrefu na huweza kumvunjia mtu heshima yake au kumvuruga kiutendaji

Nafikiri teuzi nyingi hazifanywi kwa umakini, hazina malengo ya muda mrefu na huweza kumvunjia mtu heshima yake au kumvuruga kiutendaji

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Hapa namzungumzia zaidi Professor Palamagamba Kabudi. Huyu nguli wa sheria amekuwa ni mtu wa kuteuliwa na kutenguliwa au kuhamishwa na kurudishwa alikotoka na kuhamishwa tena kwenda kwingineko.

Professor aliteuliwa kuwa waziri wa sheria kabla ya kuhamishwa na kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi. Baadaye Professor Kabudi aliachwa na kuondolewa kwenye baraza la mawaziri kabla ya kuja kurudishwa hvi majuzi tu kuwa waziri wa sheria na katiba.

Sasa ameondolewa wizara ya sheria ambayo ndio fani yake kitaaluma na amepelekwa wizara ya habari na utamaduni.

Tulifikiri amerudishwa mahali pake kumbe sio hivyo, nani anajua prof atahamishiwa wizara gani mwakani?

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Kwa maoni yangu teuzi za namna hii zinasema mengi ikiwa na pamoja na wafanya teuzi kutojua kwanini wanamteua mtu flani, kukosa mipango mkakati, kukurupuka au hata kutothamini heshima ya mtu.

Kama mtu anafaa, anafaa, kama hafai, hafai.

Nawashauri wateuliwa wa nchi hii sio lazima ukubali uteuzi kila wakati, unaweza pia kukataa.
 
Hapa namzungumzia zaidi Professor Palamagamba Kabudi. Huyu nguli wa sheria amekuwa ni mtu wa kuteuliwa na kutenguliwa au kuhamishwa na kurudishwa alikotoka na kuhamishwa tena kwenda kwingineko.

Professor aliteuliwa kuwa waziri wa sheria kabla ya kuhamishwa na kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi. Baadaye Professor Kabudi aliachwa na kuondolewa kwenye baraza la mawaziri kabla ya kuja kurudishwa hvi majuzi tu kuwa waziri wa sheria na katiba. Sasa ameondolewa wizara ya sheria ambayo ndio fani yake kitaaluma na amepelekwa wizara ya habari na utamaduni.

Tulifikiri amerudishwa mahali pake kumbe sio hivyo, nani anajua prof atahamishiwa wizara gani mwakani?

Kwa maoni yangu teuzi za namna hii zinasema mengi ikiwa na pamoja na wafanya teuzi kutojua kwanini wanamteua mtu flani, kukosa mipango mkakati, kukurupuka au hata kutothamini heshima ya mtu.

Kama mtu anafaa, anafaa, kama hafai, hafai.

Nawashauri wateuliwa wa nchi hii sio lazima ukubali uteuzi kila wakati, unaweza pia kukataa.
Kiongozi hajitambua. Anadharirisha watu akili zso kama Kabudi Lukuvi,Slaa. Wazalendo wa Tanganyika.
 
Hapa namzungumzia zaidi Professor Palamagamba Kabudi. Huyu nguli wa sheria amekuwa ni mtu wa kuteuliwa na kutenguliwa au kuhamishwa na kurudishwa alikotoka na kuhamishwa tena kwenda kwingineko.

Professor aliteuliwa kuwa waziri wa sheria kabla ya kuhamishwa na kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi. Baadaye Professor Kabudi aliachwa na kuondolewa kwenye baraza la mawaziri kabla ya kuja kurudishwa hvi majuzi tu kuwa waziri wa sheria na katiba. Sasa ameondolewa wizara ya sheria ambayo ndio fani yake kitaaluma na amepelekwa wizara ya habari na utamaduni.

Tulifikiri amerudishwa mahali pake kumbe sio hivyo, nani anajua prof atahamishiwa wizara gani mwakani?

Kwa maoni yangu teuzi za namna hii zinasema mengi ikiwa na pamoja na wafanya teuzi kutojua kwanini wanamteua mtu flani, kukosa mipango mkakati, kukurupuka au hata kutothamini heshima ya mtu.

Kama mtu anafaa, anafaa, kama hafai, hafai.

Nawashauri wateuliwa wa nchi hii sio lazima ukubali uteuzi kila wakati, unaweza pia kukataa.
Mara nyingi ukitenguliwa bado utapata mshahara ule wa kima cha juu hasara kwa taifa
 
Hapa namzungumzia zaidi Professor Palamagamba Kabudi. Huyu nguli wa sheria amekuwa ni mtu wa kuteuliwa na kutenguliwa au kuhamishwa na kurudishwa alikotoka na kuhamishwa tena kwenda kwingineko.
Unapo jitambulisha wewe mwenyewe kuwa mtu duni usitegemee kupewa heshima na yeyote. Wewe unakuwa ni wa "jalalani" tu kama livyo jitangaza mwenyewe.

Huyu Profesa hana sababu kabisa ya kunyanyasika hivi; inaonekana sasa kuwa anabakishwa humo serikalini kwa kumwonea huruma tu na kutoonyesha kwa watu uduni alio nao.
Mtu kama Kabudi hakuwa na sababu hata kidogo ya kujidhalilisha mwenyewe, kwa kukosa mwelekeo na msimamo wake mwenyewe kuhusu maswala muhimu ya nchi hii. Huyu ndiye ange kuwa ni kiongozi wa kumsikliza hata huko ndani ya serikali, anapo sema neno na kulisimamia. Badala yake kajiweka kuwa 'chawa' mshangiliaji hata mambo ya uchafu?
Ninamdharau sana huyu Profesa. Hilo li mwili lake na mwonekano wake kiujumla hakuvitendea haki hata kidogo.
Hovyo kabisa!

Jambo jingine nililo ona. Sidhani kuwa kume wahi kuwepo serikali yoyote nchini Tanzania iliyo fanya mabadiliko mara kwa mara kama hii iliyopo sasa. Sijui kama mabadiliko haya yana fanywa kwa lengo la kupata ufanisi katika utendaji serikalini; au ni teuzi tu za kuwaweka wateuliwa katika hali ya hati hati wakati wote.

Teuzi hizi ni ishara kubwa ya ubovu uliopo huko juu kabisa kwa wateuzi wenyewe.
 
Kwa maoni yangu teuzi za namna hii zinasema mengi ikiwa na pamoja na wafanya teuzi kutojua kwanini wanamteua mtu flani, kukosa mipango mkakati, kukurupuka au hata kutothamini heshima ya mtu.
Ukiangalia teuzi mbalimbali zilizo fanywa tokea kuingia mama madarakani, lengo ni kujihami; kujihakikishia kuendelea madarakani. Akina Masauni. Mchengerwa, Bashite, Naibu Waziri Mkuu na wengi wengineo, waliwekwa kwenye nafasi za kumlinda mama.
Sasa mtaji wa akina Kabudi unaonekana hauna uzito mwingi katika lengo hilo.
 
Hapa namzungumzia zaidi Professor Palamagamba Kabudi. Huyu nguli wa sheria amekuwa ni mtu wa kuteuliwa na kutenguliwa au kuhamishwa na kurudishwa alikotoka na kuhamishwa tena kwenda kwingineko.

Professor aliteuliwa kuwa waziri wa sheria kabla ya kuhamishwa na kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi. Baadaye Professor Kabudi aliachwa na kuondolewa kwenye baraza la mawaziri kabla ya kuja kurudishwa hvi majuzi tu kuwa waziri wa sheria na katiba.

Sasa ameondolewa wizara ya sheria ambayo ndio fani yake kitaaluma na amepelekwa wizara ya habari na utamaduni.

Tulifikiri amerudishwa mahali pake kumbe sio hivyo, nani anajua prof atahamishiwa wizara gani mwakani?

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Kwa maoni yangu teuzi za namna hii zinasema mengi ikiwa na pamoja na wafanya teuzi kutojua kwanini wanamteua mtu flani, kukosa mipango mkakati, kukurupuka au hata kutothamini heshima ya mtu.

Kama mtu anafaa, anafaa, kama hafai, hafai.

Nawashauri wateuliwa wa nchi hii sio lazima ukubali uteuzi kila wakati, unaweza pia kukataa.
Naunga mkono hoja。
niliuliza humu Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?
kisha nikauliza Hizi pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao zote zina maslahi kwa taifa au kuna flip-flops ?.
kisha nikashauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
 
Inawezekana kuna vitu Kabudi huwa anakataa ku compromise. Wanamhamisha ili mambo yao yaende.

Rasilimali ya kwanza kwa nchi yoyote ni watu wake. Nchi ambayo haitumii vizuri rasilimali hiyo basi itabuluza mkia mpaka mwana wa Adam arudi.
 
Tatizo ni la mteuaji mwenyewe.Toka aingie madarakani tunaona anahangaika na kuteua tu lakini matokeo chanya hatujawahi kuyaona hata Moja.
 
Mamlaka ya Uteuzi haijafurahi kwa kauli ile ya Biblia ifundishwe shuleni, labda, narudia tena labda ndio chanzo cha uhamisho maana huyu bwana huwa ana kauli tata sana kama ile ya jalalani, sijui Mungu, Kikombe cha Madagascar na mambo kama hayo. Angetulia kama Bashubgwa ajue na namna ya kuuma na kupuliza, mambo yangekuwa safi, walau angetulia sehemu moja kwa muda mrefu- kwa ufupi, hajui kusimamia anacho kiamini-- kwenye katiba ya warioba aliongelea mambo mazuri (na mifano Mingi) kama yule Polepole, kwenye utendaji- bado ni sufuri ingawaje na yeye huwa anawananga wanafunzi wake kwamba atataja maksi zao... Maksi zake sasa ziko hadharani na wanamkimbiza kimbiza tu akambanane na akili ndogo kule kwa wale wanao hitaji darasa la kiprofessor. Ngoja tuone, labda atatoboa huko au watamhamisha tena kabla ya uchaguzi wa 2025.
 
Hapa namzungumzia zaidi Professor Palamagamba Kabudi. Huyu nguli wa sheria amekuwa ni mtu wa kuteuliwa na kutenguliwa au kuhamishwa na kurudishwa alikotoka na kuhamishwa tena kwenda kwingineko.

Professor aliteuliwa kuwa waziri wa sheria kabla ya kuhamishwa na kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi. Baadaye Professor Kabudi aliachwa na kuondolewa kwenye baraza la mawaziri kabla ya kuja kurudishwa hvi majuzi tu kuwa waziri wa sheria na katiba.

Sasa ameondolewa wizara ya sheria ambayo ndio fani yake kitaaluma na amepelekwa wizara ya habari na utamaduni.

Tulifikiri amerudishwa mahali pake kumbe sio hivyo, nani anajua prof atahamishiwa wizara gani mwakani?

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Kwa maoni yangu teuzi za namna hii zinasema mengi ikiwa na pamoja na wafanya teuzi kutojua kwanini wanamteua mtu flani, kukosa mipango mkakati, kukurupuka au hata kutothamini heshima ya mtu.

Kama mtu anafaa, anafaa, kama hafai, hafai.

Nawashauri wateuliwa wa nchi hii sio lazima ukubali uteuzi kila wakati, unaweza pia kukataa.
Pascal Mayalla
 
Mambo yanavyokwenda nchi hii, yana akisi akili za viongozi wetu
 
Back
Top Bottom