Nafikiria kuandaa Chakula cha usiku kwa wana Chit Chat tujumuike pamoja

We toa code number tangaza bar watu wakifika kaunta wanachukua beer kwa kutumia code ,watakuja kukushukuru humu


It is never too late to begin. Start now

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hapana sio nzuri
Si ntawatonya na wanangu
Mkienda bia zimeisha, Labda asiweke limit ya idadi za bia
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hapana sio nzuri
Si ntawatonya na wanangu
Mkienda bia zimeisha, Labda asiweke limit ya idadi za bia

Ata ukiwatonya uzuri pass number inabaki ile ile kwa mtu atakaye itaji, na bia kama ni 10 mtakunywa hizo kumi na wana


It is never too late to begin. Start now
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Na hii corona huo mualiko itakuwaje sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…