Magere Cheops
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 213
- 306
Habari wanna jamii.... Kama mada inavyojieleza hapo juu, ninafikilia kuanziasha biashara ya kuuza barafu katika masoko na shule zinazonizunguka ninaomba ushauri kwa wazoefu katika mambo haya
01. Kuna mashine nliwahi kuiona mahali siijui jina lakini ni Kama tank furani lina maji halafu kwa chini ndio Kuna injini unamimina juice ya barafu kwenye vyombo furani halafu unakalisha ndani ya hilo tank kwenye yale maji kwa muda mfupi tu barafu inakuwa imeganda unaitoa unaweka tena
Sasa hii mashine inaitwaje?
Inapatikana maeneo gani kwa wingi?
Bei yake ikoje
Na je matumizi yake ya umeme yakoje?
02. Hapa nilipo hakuna umeme nawaza kutumia generator kuendeshea friza
Je ni friza aina gani inaweza kuendeshwa na generator ya wastani?
Ni kwa muda gani nitawasha generator mpaka barafu kuganda?
03. Namna gani nzuri ya kutengeneza barafu zenye ladha Nzuri na zitakazopendwa kwenye soko langu hili.
Naomba kuelekezwa hapo kwa wenye uelewa wa mambo haya.
01. Kuna mashine nliwahi kuiona mahali siijui jina lakini ni Kama tank furani lina maji halafu kwa chini ndio Kuna injini unamimina juice ya barafu kwenye vyombo furani halafu unakalisha ndani ya hilo tank kwenye yale maji kwa muda mfupi tu barafu inakuwa imeganda unaitoa unaweka tena
Sasa hii mashine inaitwaje?
Inapatikana maeneo gani kwa wingi?
Bei yake ikoje
Na je matumizi yake ya umeme yakoje?
02. Hapa nilipo hakuna umeme nawaza kutumia generator kuendeshea friza
Je ni friza aina gani inaweza kuendeshwa na generator ya wastani?
Ni kwa muda gani nitawasha generator mpaka barafu kuganda?
03. Namna gani nzuri ya kutengeneza barafu zenye ladha Nzuri na zitakazopendwa kwenye soko langu hili.
Naomba kuelekezwa hapo kwa wenye uelewa wa mambo haya.