chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 2,097
- 1,457
Ndugu! poleni na maangaiko
Nafikiria kununua gari, Toyota Nadia, ebu naombeni ushauri juu ya aina hii ya gari. Binafsi nalipenda kwa sababu ya gharama yake kuwa ndogo maksio ya milioni 7,ikiwa nitaagiza kutoka japani.
Changamoto za hii aina ya magari ni ipi? binafsi nipo mkoani, na gari hili litatumika tu kwa ajiri ya safari za kazini,na kwa mara chache kusafiri mikoani!
Nawakilisha, ushauri
Nafikiria kununua gari, Toyota Nadia, ebu naombeni ushauri juu ya aina hii ya gari. Binafsi nalipenda kwa sababu ya gharama yake kuwa ndogo maksio ya milioni 7,ikiwa nitaagiza kutoka japani.
Changamoto za hii aina ya magari ni ipi? binafsi nipo mkoani, na gari hili litatumika tu kwa ajiri ya safari za kazini,na kwa mara chache kusafiri mikoani!
Nawakilisha, ushauri