Nafikiria kununua gari, Toyota Nadia, ebu naombeni ushauri juu ya aina hii ya gari

Nafikiria kununua gari, Toyota Nadia, ebu naombeni ushauri juu ya aina hii ya gari

chamilo nicolous

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2016
Posts
2,097
Reaction score
1,457
Ndugu! poleni na maangaiko

Nafikiria kununua gari, Toyota Nadia, ebu naombeni ushauri juu ya aina hii ya gari. Binafsi nalipenda kwa sababu ya gharama yake kuwa ndogo maksio ya milioni 7,ikiwa nitaagiza kutoka japani.

Changamoto za hii aina ya magari ni ipi? binafsi nipo mkoani, na gari hili litatumika tu kwa ajiri ya safari za kazini,na kwa mara chache kusafiri mikoani!
Nawakilisha, ushauri
2000-Toyota-NADIA-116-4127438_1.jpg
 
Itunze hiyo engine ya D4 lazima itakua humo.
Hongera ata kwa hiyo mkuu ila ungechukua wish ndio ya kisasa kidogo kwa hiyo nadia japo wishi ni ndefu kama nyoka.
Nadia nzuri
 
Itunze hiyo engine ya D4 lazima itakua humo.
Hongera ata kwa hiyo mkuu ila ungechukua wish ndio ya kisasa kidogo kwa hiyo nadia japo wishi ni ndefu kama nyoka.
Nadia nzuri
sawa mkuu, kwa ushauri
 
Back
Top Bottom