Nafikiria kwa sauti....

Nafikiria kwa sauti....

mshamba_mwingine

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2023
Posts
1,057
Reaction score
4,145
Leo nimekutana na hii makala mtandaoni, imenishtua na kunishangaza sana.

Mwanaume mmoja huko india ameamua kuacha kazi yake katika taasisi kubwa sana ya goldman sachs yenye mshahara mzuri, na kuwa baba wa nyumbani, ili ampe mke wake urahisi wa kupanda cheo kazini.
Screenshot_20240812-111901_Chrome.jpg


Anadai kwamba wanawake wengi wanakosa vyeo vikubwa kwasababu ya kujikita kwenye malezi ya watoto, hivyo wanaume wanatakiwa wajitolee zaidi kubaki nyumbani.
Screenshot_20240812-112712_Chrome.jpg


Vile vile anagawana na mke wake majukumu ya malezi, pale mke anapokuwa nyumbani....
Screenshot_20240812-112423_Chrome.jpg


Na pia ameamua(na kuridhika) kuishi kupitia mshahara wa mkewe, pamoja na akiba yao ya pamoja.
Screenshot_20240812-112306_Chrome.jpg


Nawaza, kama kuna wanaume wanaothubutu kufanya jambo kama hili, na likashamiri, mustakhabali wa wanaume kwenye mahusiano utakuwaje?

Wanaume tutafafanuliwa katika misingi ipi?

Hii ni sawa kweli?

Nimechanganyikiwa.
 
Leo nimekutana na hii makala mtandaoni, imenishtua na kunishangaza sana.

Mwanaume mmoja huko india ameamua kuacha kazi yake katika taasisi kubwa sana ya goldman sachs yenye mshahara mzuri, na kuwa baba wa nyumbani, ili ampe mke wake urahisi wa kupanda cheo kazini.
View attachment 3067634

Anadai kwamba wanawake wengi wanakosa vyeo vikubwa kwasababu ya kujikita kwenye malezi ya watoto, hivyo wanaume wanatakiwa wajitolee zaidi kubaki nyumbani.
View attachment 3067636

Vile vile anagawana na mke wake majukumu ya malezi, pale mke anapokuwa nyumbani....
View attachment 3067638

Na pia ameamua(na kuridhika) kuishi kupitia mshahara wa mkewe, pamoja na akiba yao ya pamoja.
View attachment 3067639

Nawaza, kama kuna wanaume wanaothubutu kufanya jambo kama hili, na likashamiri, mustakhabali wa wanaume kwenye mahusiano utakuwaje?

Wanaume tutafafanuliwa katika misingi ipi?

Hii ni sawa kweli?

Nimechanganyikiwa.
wahindi wana maajabu mengi kuna wengine wanagawa mali zao zote wawe maskini
 
Back
Top Bottom