Nafikiria nje ya box: Ubongo wa Marehemu Kuunganishwa na Roboti, Hii Itakuwa Je?

Nafikiria nje ya box: Ubongo wa Marehemu Kuunganishwa na Roboti, Hii Itakuwa Je?

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,550
Reaction score
39,949
Habari!

Hivi, kwa teknolojia ilipofikia kwa sasa, je, akitengenezwa roboti halafu ukachukuliwa ubongo wa mtu aliyefariki ukaunganishwa na viungo vya mwili vya roboti?

Je, hawezi kuwaza, kufikiri, na kutenda kila kitu kwa usahihi kama mtu ambaye awali alishakufa? Yaani, akarudi na uwezo, akili zilezile na ujuzi uleule. Ila, uwezo na nguvu akapata kupitia njia nyingine ya nishati, si kwa kula chakula, bali kwa njia nyingine, mfano umeme.

'Fikra za njaa'
 
nafikiri inawezekana lkn bado ni ngumu mno kwasasa!.. by the way ni swala la uuaji hilo ni lazima uchukuliwe ubongo wa mtu alie hai maana kwa tafsiri ya kufa kwenye ubongo ni kitu chengine kufanikiwa kuuamsha ubongo wa aliekwisha kufa inaweza ikaleta tafrani sana maana seli kibao za ubongo zitakuwa zishakufa!..

ndo nipo nawaza hiyo mishipa watakavyoiunga na hayo machuma na maplastic...!
mkuu tule kwanza ugali..🤣
 
Utakuwa unaendeshwa na nguvu gani?
Nguvu inaweza kupataikana. Hapo umeme lazma uhusike.

Ubongo ndio unaendesha karibu kila kitu mwilini. Ndio maana viungo vingine vyote vinaweza kuguswa hadi moyo na ukabaki hai.

Ila ubongo inakuwa kitu kingine kabisa. Hata kuutenga na mwili kwa sekunde tu uwezi ila vingine inawezekana.
 
Habari!

Hivi, kwa teknolojia ilipofikia kwa sasa, je, akitengenezwa roboti halafu ukachukuliwa ubongo wa mtu aliyefariki ukaunganishwa na viungo vya mwili vya roboti?

Je, hawezi kuwaza, kufikiri, na kutenda kila kitu kwa usahihi kama mtu ambaye awali alishakufa? Yaani, akarudi na uwezo, akili zilezile na ujuzi uleule. Ila, uwezo na nguvu akapata kupitia njia nyingine ya nishati, si kwa kula chakula, bali kwa njia nyingine, mfano umeme.

'Fikra za njaa'
Sayani iliyopo,dakika to masaa kadha baada ya mtu kufariki "cells" za ubongo hufa kabisa na kukosa uwezo wake wa utendaji kazi,kabla ya moyo kufa,ubongo ndio huanza
 
nafikiri inawezekana lkn bado ni ngumu mno kwasasa!.. by the way ni swala la uuaji hilo ni lazima uchukuliwe ubongo wa mtu alie hai maana kwa tafsiri ya kufa kwenye ubongo ni kitu chengine kufanikiwa kuuamsha ubongo wa aliekwisha kufa inaweza ikaleta tafrani sana maana seli kibao za ubongo zitakuwa zishakufa!..

ndo nipo nawaza hiyo mishipa watakavyoiunga na hayo machuma na maplastic...!
mkuu tule kwanza ugali..🤣
Hapo sizungumzii uuaji nazungmzia mfano ww umekufa tu tunakuingiza maamabara. Tunatoa ubongo wako tunauweka kwenye kichwa cha mwili mwingine artificial(robot)

Then unarudi kuendelea kutuvuruga huku jf.

Basi hata kama si ubongo. Basi tukopy akili yako kama ilivyo tuhamishie kwa roboti.
 
Sayani iliyopo,dakika to masaa kadha baada ya mtu kufariki "cells" za ubongo hufa kabisa na kukosa uwezo wake wa utendaji kazi,kabla ya moyo kufa,ubongo ndio huanza
Oky oky
 
Hapo sizungumzii uuaji nazungmzia mfano ww umekufa tu tunakuingiza maamabara. Tunatoa ubongo wako tunauweka kwenye kichwa cha mwili mwingine artificial(robot)

Then unarudi kuendelea kutuvuruga huku jf.

Basi hata kama si ubongo. Basi tukopy akili yako kama ilivyo tuhamishie kwa roboti.
"mfano ww umekufa tu"

naona haujui maana ya kufa ndugu, katafiti utaelewa kwanini haitakiwi kusubiri mtu mpaka afe!
 
Hapo sizungumzii uuaji nazungmzia mfano ww umekufa tu tunakuingiza maamabara. Tunatoa ubongo wako tunauweka kwenye kichwa cha mwili mwingine artificial(robot)

Then unarudi kuendelea kutuvuruga huku jf.

Basi hata kama si ubongo. Basi tukopy akili yako kama ilivyo tuhamishie kwa roboti.
Kama kwenye the 100 season 7 walikuwa wana tunza kumbu kumbu kwenye hard drive. Huenda siku za mbeleni ikawa ni kitu cha kawaida, kama mtu wa miaka ya 1800s ukimwambia sifa za smartphone atakuona ni mtu wa fantasy
 
Back
Top Bottom