Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Hakuna kitu kinauma duniani kama kugeuzwa mbuzi wa kafara.
Walichofanyiwa Kessy na Ghasia huenda kikawa kichomi kimoja kibaya sana kwenye maisha yao yaliobaki hapa duniani.
"Kwanini mimi? Kwanini mimi? Yaani ina maana sina thamani kiasi hicho mpaka wanitose mimi baharini? Yaani kati ya viti zaidi ya mia mbili, wameona mimi ndo sina maana?"
Amini nakuambieni, hakuna jambo linaloumiza mwanadamu hapa duaniani kama kuanza kujiuliza "Kwanini mimi, na sio wengine?" Kutolewa kafara ni pigo kubwa sana la kuumiza nafsi.
Nashauri Hawa Ghasia na Kessy, wawekwe chini ya uangalizi maalum wasije kujidhuru.
Pamoja na kwamba watanzania wengi tumeumizwa na huu uchaguzi, ila navofikiri kuvaa viatu vya wabunge hawa wawili na wengine wachache wa CCM wataotolewa kafara, nabaki kujifariji kwamba 'matatizo ya binadamu ni mzunguko, yasipokutokea leo yatakutokea tu siki moja kwa namna tofauti'
Walichofanyiwa Kessy na Ghasia huenda kikawa kichomi kimoja kibaya sana kwenye maisha yao yaliobaki hapa duniani.
"Kwanini mimi? Kwanini mimi? Yaani ina maana sina thamani kiasi hicho mpaka wanitose mimi baharini? Yaani kati ya viti zaidi ya mia mbili, wameona mimi ndo sina maana?"
Amini nakuambieni, hakuna jambo linaloumiza mwanadamu hapa duaniani kama kuanza kujiuliza "Kwanini mimi, na sio wengine?" Kutolewa kafara ni pigo kubwa sana la kuumiza nafsi.
Nashauri Hawa Ghasia na Kessy, wawekwe chini ya uangalizi maalum wasije kujidhuru.
Pamoja na kwamba watanzania wengi tumeumizwa na huu uchaguzi, ila navofikiri kuvaa viatu vya wabunge hawa wawili na wengine wachache wa CCM wataotolewa kafara, nabaki kujifariji kwamba 'matatizo ya binadamu ni mzunguko, yasipokutokea leo yatakutokea tu siki moja kwa namna tofauti'