Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Israel naftal ameishauri Israel kusambaratisha kinu cha kuzalisha nyuklia pamoja na mfumo mzima wa kuzalisha nishati nchini Iran.
Ameongeza kuwa Israel wamepata fursa muhimu sana katika kipindi Cha miaka zaidi ya 50 cha kuweza kubadili sura ya Mashariki ya kati.
==========
Former PM of Israel says Israel can change face of MidEast
"Israel now has its greatest opportunity in 50 years to change the face of the Middle East," said Naftali Bennett, former Prime Minister of Israel.
He added that Iran's leadership "made a terrible mistake this evening" and called for immediate action to destroy Iran's nuclear program, central energy facilities, and to "fatally cripple this terrorist regime."
Pia, soma: Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Israel naftal ameishauri Israel kusambaratisha kinu cha kuzalisha nyuklia pamoja na mfumo mzima wa kuzalisha nishati nchini Iran.
Ameongeza kuwa Israel wamepata fursa muhimu sana katika kipindi Cha miaka zaidi ya 50 cha kuweza kubadili sura ya Mashariki ya kati.
==========
Former PM of Israel says Israel can change face of MidEast
"Israel now has its greatest opportunity in 50 years to change the face of the Middle East," said Naftali Bennett, former Prime Minister of Israel.
He added that Iran's leadership "made a terrible mistake this evening" and called for immediate action to destroy Iran's nuclear program, central energy facilities, and to "fatally cripple this terrorist regime."
Pia, soma: Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia