busarakumkichwa
Member
- Jul 20, 2024
- 46
- 49
Sasa nguo nimtolee nje wakati nimezivulia ndani? Kwa nn lakin?Kuna mdada yupo Mipango Dodoma, kama kuna mtu anaehitaj kufuliwa siku ya leo ndani ya Dodoma mjini, sharti nguo na kila unamtolea nje na hamna extra service.
naenda mahali mteja alipo namba 0697629019 mwenye uhitaj anitafute plzMipango Dodoma, Sasa Anapelekewa Nguo Ama.....Sijaelewa
nyie ndio hasa mnaolengwa kuhusiana na kutokuwepo kwa extra services π πSasa nguo nimtolee nje wakati nimezivulia ndani? Kwa nn lakin?
Hilo hutegemea na muonekano wa Mtu bana,huku kwetu yupo Mbibi anafua wala hapati usumbufu wowote.Bora umefafanua maana kuna mijitu ya ovyo haikawii kutaka utelezi kwa mfuaji wa watu.
Kuna walimwengu hawaangali suraππHilo hutegemea na muonekano wa Mtu bana,huku kwetu yupo Bibi anafua wala hapati usumbufu wowote.
Anafua nguo haina zote?Kuna mdada yupo Mipango Dodoma, kama kuna mtu anaehitaj kufuliwa siku ya leo ndani ya Dodoma mjini, sharti nguo na kila unamtolea nje na hamna extra service.
Kabisa, we fikiria p diddy, kwa muha wa tandale au yule African giant alikifata nini..Kuna walimwengu hawaangali suraππ
ππ€£ππ€£ππ€£πIla KweliKabisa, we fikiria p diddy, kwa muha wa tandale au yule African giant alikifata nini..
Kuna watu mafedhuli π€£π
sijasomea maisha tuKama Umesomea udobi nikuunagnishie na kampuni moja
Dunia imaharibikaMwambie aache uoga ,mm nna chumba master na njee hakuna bomba anafulia ndan
0697629019Hongera kwa ubunifu uliotukuka,hapo weka namba yako ya simu itapendeza zaidi...