Naona vipaji vya kawaida sana na hawazitendei hali nyimbo wanazoimba.
Kuna wimbo aneimba Allan nipeni dili,uliwahi kuimbwa na mshiriki mmoja binti alikiwasha sana na ninakiri mimi ndipo nilianza kuupenda wimbo huo.
Vijana wenye vipaji siku hizi hampo?
Kuna wimbo aneimba Allan nipeni dili,uliwahi kuimbwa na mshiriki mmoja binti alikiwasha sana na ninakiri mimi ndipo nilianza kuupenda wimbo huo.
Vijana wenye vipaji siku hizi hampo?