Nafundisha B.MATHEMATICS

Nafundisha B.MATHEMATICS

Kizibo255

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2011
Posts
515
Reaction score
376
Nina uwezo mkubwa na wa hali ya juu wa kufundisha b.maths kwa o.level. Natafuta kaz ya kufundisha popote. Nimeshafundisha kwa miaka 2 na kupata mafanikio makubwa hasa NECTA 2010. A= 1. B= 13, C= 25, D= 49 F=144. Nafac ya somo ilikuwa 16/200 kimkoa 310/3362 kitaifa.
 
Anzisha TUITION ofisi ni mtu aliposimaa mkuu.
 
Kwani hapo unapofundisha kwa sasa kuna nini?
 
Hebu piga namba hii ujitambulishe 0784318459. Pia eleza shida yako
 
Nina uwezo mkubwa na wa hali ya juu wa kufundisha b.maths kwa o.level. Natafuta kaz ya kufundisha popote. Nimeshafundisha kwa miaka 2 na kupata mafanikio makubwa hasa NECTA 2010.

Jaribu kucheck na Mkandawile
 
Mimi pia nakuomba nipigie kwa namba hii uwe na 0654057730 nikupe dili. hili hata kesho nakupeleka Shule husika.
 
Back
Top Bottom