Nafundisha bure lugha ya alama (ishara).

Nafundisha bure lugha ya alama (ishara).

MR KUO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2016
Posts
2,678
Reaction score
3,818
Wakuu. Najitolea kufundisha lugha ya alama kwa matumizi mbali mbali especially mawasiliano yawe ya wazi au siri, lugha ninayolenga kufundisha ni ile ya kutumia body language na sign language. Njoo ujifunze ushara mbali mbali, alfabet kwa kukunja kunja vidole nk. Ofisi yangu na kituo cha kutolea mafunzo kipo dar mabibo mwisho.Huduma ni bure kabisa kila alhamis na jumamosi.
Nipigie: 0788654489.
 
Wakuu. Najitolea kufundisha lugha ya alama kwa matumizi mbali mbali especially mawasiliano yawe ya wazi au siri, lugha ninayolenga kufundisha ni ile ya kutumia body language na sign language. Njoo ujifunze ushara mbali mbali, alfabet kwa kukunja kunja vidole nk. Ofisi yangu na kituo cha kutolea mafunzo kipo dar mabibo mwisho.Huduma ni bure kabisa kila alhamis na jumamosi.
Nipigie: 0788654489.
Unanikumbusha Tanga Tech School tulikuwa tunajifunza sana 2014--2017
 
Wakuu. Najitolea kufundisha lugha ya alama kwa matumizi mbali mbali especially mawasiliano yawe ya wazi au siri, lugha ninayolenga kufundisha ni ile ya kutumia body language na sign language. Njoo ujifunze ushara mbali mbali, alfabet kwa kukunja kunja vidole nk. Ofisi yangu na kituo cha kutolea mafunzo kipo dar mabibo mwisho.Huduma ni bure kabisa kila alhamis na jumamosi.
Nipigie: 0788654489.
Mungu akubaliki sana mkuu
 
Back
Top Bottom