Gemini Are Forever JF-Expert Member Joined Sep 10, 2019 Posts 1,508 Reaction score 2,619 Nov 26, 2019 #1 Hello members, Good evening! Nimekuja hapa nikiwa na furaha tele. Kwa muda sana nimekuwa mfuatiliaji katika jukwaa hili tangu 2016... Kutokana na michango mbali mbali ya jukwaa hili nimeonelea niwe mwanachama rasmi. Hawa wafuatao wamenishawishi pia kujiunga. Mshana Jr CHASHA FARMING Chief-Mkwawa CONTROLA GLOBAL CITIZEN na wengine wengi, list ni ndefu!! ~SHOUT OUT ALL~
Hello members, Good evening! Nimekuja hapa nikiwa na furaha tele. Kwa muda sana nimekuwa mfuatiliaji katika jukwaa hili tangu 2016... Kutokana na michango mbali mbali ya jukwaa hili nimeonelea niwe mwanachama rasmi. Hawa wafuatao wamenishawishi pia kujiunga. Mshana Jr CHASHA FARMING Chief-Mkwawa CONTROLA GLOBAL CITIZEN na wengine wengi, list ni ndefu!! ~SHOUT OUT ALL~
Yamakagashi JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 8,614 Reaction score 17,626 Nov 26, 2019 #2 Mgeni anayejua ku tag? Haya basi sawa karibu
Papaa Gx JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 11,097 Reaction score 17,929 Nov 26, 2019 #3 Mmasai anae jua kutumia jf
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Nov 26, 2019 #4 Karibu sana JF.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Nov 27, 2019 #5 Asante sana na karibu jukwaa la great thinkers.... Ila pia lina great sinkers ENGIMA30,
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Nov 27, 2019 #6 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.
Gemini Are Forever JF-Expert Member Joined Sep 10, 2019 Posts 1,508 Reaction score 2,619 Dec 2, 2019 Thread starter #7 Asante kwa ukaribisho mkuu @Yamakangashi mkuu kuhusu ku tag heb rejea kwamb mm si mgeni wa hili jukwaa ila tu sikuwa member rasmi. Kwa hiyo ninaijua vyema JF!
Asante kwa ukaribisho mkuu @Yamakangashi mkuu kuhusu ku tag heb rejea kwamb mm si mgeni wa hili jukwaa ila tu sikuwa member rasmi. Kwa hiyo ninaijua vyema JF!
CONTROLA JF-Expert Member Joined Sep 15, 2019 Posts 7,001 Reaction score 23,449 Dec 2, 2019 #8 Sikuona hiii engimaaa, umekuja muda kumbeee sheeeeh mbona hukunifata kuniambia? karibu sana huku wapo kina mzee lomayaniiii wapo, mzee engutoto nae yupooo ni wewe tu ulichelewa sasa engimaaa loshoroo yangu hujaniambia iko wapi atiii, karibu sana sana ENGIMA30
Sikuona hiii engimaaa, umekuja muda kumbeee sheeeeh mbona hukunifata kuniambia? karibu sana huku wapo kina mzee lomayaniiii wapo, mzee engutoto nae yupooo ni wewe tu ulichelewa sasa engimaaa loshoroo yangu hujaniambia iko wapi atiii, karibu sana sana ENGIMA30
Gemini Are Forever JF-Expert Member Joined Sep 10, 2019 Posts 1,508 Reaction score 2,619 Dec 2, 2019 Thread starter #9 mjr95 π΅ π΅ π΅ Kwani wamasai unawachukuliaje mkuu? Kwa taarifa yako ni watu unique sana sema tu life style yao ndo inawafanya wachukuliwe poa. By the way... kwan mi Maasai mkuu? Asante kwa ukaribisho pia, BLESSED MORE!
mjr95 π΅ π΅ π΅ Kwani wamasai unawachukuliaje mkuu? Kwa taarifa yako ni watu unique sana sema tu life style yao ndo inawafanya wachukuliwe poa. By the way... kwan mi Maasai mkuu? Asante kwa ukaribisho pia, BLESSED MORE!
Gemini Are Forever JF-Expert Member Joined Sep 10, 2019 Posts 1,508 Reaction score 2,619 Dec 2, 2019 Thread starter #10 Tate Mkuu thanks a million. Nimekaribia!
Idd Ninga JF-Expert Member Joined Nov 18, 2012 Posts 5,497 Reaction score 4,775 Dec 2, 2019 #11 Karibu sana,humu kuna Great thinker na wengine wengi ni majanga matupu na tatizo kwa taifa.
Gemini Are Forever JF-Expert Member Joined Sep 10, 2019 Posts 1,508 Reaction score 2,619 Dec 2, 2019 Thread starter #12 π π π Mshana Jr bwana...! Eti great sinkers! Kwa hyo ramli yako inanichukuliaje mkuu? Mimi GT au GS?
π π π Mshana Jr bwana...! Eti great sinkers! Kwa hyo ramli yako inanichukuliaje mkuu? Mimi GT au GS?
Gemini Are Forever JF-Expert Member Joined Sep 10, 2019 Posts 1,508 Reaction score 2,619 Dec 2, 2019 Thread starter #13 Babu Ulimakafu asante kwa ukaribisho. Nafurahi sana kuja kuwa miongoni mwa wanaopata hekima na busara kutoka kwenu wala chumvi nyingi.
Babu Ulimakafu asante kwa ukaribisho. Nafurahi sana kuja kuwa miongoni mwa wanaopata hekima na busara kutoka kwenu wala chumvi nyingi.
Alvin A. JF-Expert Member Joined Oct 14, 2016 Posts 2,865 Reaction score 3,633 Dec 2, 2019 #14 [emoji243][emoji243][emoji243][emoji233][emoji233][emoji207][emoji231][emoji238][emoji240]
Gemini Are Forever JF-Expert Member Joined Sep 10, 2019 Posts 1,508 Reaction score 2,619 Dec 2, 2019 Thread starter #15 π π π Asante kwa mapokezi mkuu CONTROLA "Sehemu ambako hakuna ndugu yako (mfano, MJINI au USWAHILINI) ni sawa na porini" Alisikika mzee mmoja hv wa kimasai. Baada ya kuwaona akina Lomayani na wengineo basi nikagundua kuwa JF ni nyumbani (kwa mujibu ya yule mzee). kuhusu loshoroo... Ooopps... nenda "JF Chef" akina mamayoyo1, @esiangiki, na masai dada ndo wanahusika na mahanjumati kama hayo. ila ujue nin... huwa unanifurahishaga unavyowa CONTROL kule kwenye biashara. ~LIVE LONG~
π π π Asante kwa mapokezi mkuu CONTROLA "Sehemu ambako hakuna ndugu yako (mfano, MJINI au USWAHILINI) ni sawa na porini" Alisikika mzee mmoja hv wa kimasai. Baada ya kuwaona akina Lomayani na wengineo basi nikagundua kuwa JF ni nyumbani (kwa mujibu ya yule mzee). kuhusu loshoroo... Ooopps... nenda "JF Chef" akina mamayoyo1, @esiangiki, na masai dada ndo wanahusika na mahanjumati kama hayo. ila ujue nin... huwa unanifurahishaga unavyowa CONTROL kule kwenye biashara. ~LIVE LONG~
Gemini Are Forever JF-Expert Member Joined Sep 10, 2019 Posts 1,508 Reaction score 2,619 Dec 2, 2019 Thread starter #16 Mkuu Idd Ninga asante sana kwa mapokezi. Ubarikiwe!
Idd Ninga JF-Expert Member Joined Nov 18, 2012 Posts 5,497 Reaction score 4,775 Dec 2, 2019 #17 ENGIMA30 said: Mkuu Idd Ninga asante sana kwa mapokezi. Ubarikiwe! Click to expand... Amiyn
Gemini Are Forever JF-Expert Member Joined Sep 10, 2019 Posts 1,508 Reaction score 2,619 Dec 2, 2019 Thread starter #18 Alvin A. ... Shee! hifi kumbe mimi nahangaika leo siku ya tatu natafuta mali yangu kumbe imeiba wewe? hifi imepata wapi hyo ng'ombe sangu? Engelay dwoo atejo, nitatuma jeshi langu almaaruf kam NYANGULO waje kufanya pulesheni kabambe huko mijini maana hao ng'ombe mlionao huko ni wa kwetu. pulesheni = Operation (in maasai pronounciation) Asante kwa ukaribisho pia.
Alvin A. ... Shee! hifi kumbe mimi nahangaika leo siku ya tatu natafuta mali yangu kumbe imeiba wewe? hifi imepata wapi hyo ng'ombe sangu? Engelay dwoo atejo, nitatuma jeshi langu almaaruf kam NYANGULO waje kufanya pulesheni kabambe huko mijini maana hao ng'ombe mlionao huko ni wa kwetu. pulesheni = Operation (in maasai pronounciation) Asante kwa ukaribisho pia.
ngebo JF-Expert Member Joined Sep 8, 2017 Posts 1,684 Reaction score 2,126 Dec 2, 2019 #19 nimeshtuka nivoona iyo title, mi nilijua tumepata mwanachama mpya chaputa, woii
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 2, 2019 #20 Kila la kheri... Cc: mahondaw