Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
- Thread starter
-
- #21
Tapala!!Alvin A. ... Shee! hifi kumbe mimi nahangaika leo siku ya tatu natafuta mali yangu kumbe imeiba wewe? hifi imepata wapi hyo ng'ombe sangu?
Engelay dwoo atejo, nitatuma jeshi langu almaaruf kam NYANGULO waje kufanya pulesheni kabambe huko mijini maana hao ng'ombe mlionao huko ni wa kwetu.
pulesheni = Operation (in maasai pronounciation)
Asante kwa ukaribisho pia.
Alvin A. said:Tapala!!
MLEVi Mmoja said:Yeyoo
Nakalaito nakalaito sumata
Mkuu sijakuelewa...
Mwambie anayekufundisha akaze buti, bado sana kuongea hcho kilugha.
Asante kwa reception pia.
Ashinaleii = Ashe naleng'MLEVi Mmoja said:Nifundishe mkuu
Ubarikiwe shukran [emoji56]Ashinaleii = Ashe naleng'
Ashe = Shukrani/Asante
Naleng' = sana
pia waweza sema "Ashe tukul"
tukul = sana
kwa hyo neno "sana" waweza kutumia kwa kusema "tukul" ama "naleng"
Karibu tena.