Nafuta chuo chochote kile cha serikali

Calamity

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2013
Posts
856
Reaction score
47
Mimi ninadogolangu (form four leaver 2012) anapoints 29 namtafutia chuo chochote lakini kiwe nicha serikali kwa mwaka wa masomo 2014/2015 wadau nisaidie ninashida ya huyu dogo.Ahsanteni no 0765469266.
 
vyuo utatajiwa vingi tu ila tuambie dogo alikuwa anachukua masomo gan na anapenda kusomea nn chuo, hapo itakuwa ni rahisi kukutajia vyuo vitakavyomfaa
 
Elezeni mnachotaka kusoma japo kwa Kiswahili mtasaidiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…