Nafuta Kiwanja, Mbezi Beach, Kunduchi, Boko, Kawe, Kigamboni, Salasala and Mbweni

Nafuta Kiwanja, Mbezi Beach, Kunduchi, Boko, Kawe, Kigamboni, Salasala and Mbweni

Mtanganyika

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2007
Posts
1,601
Reaction score
955
Wana JF, mwana jamii mwenzenu natafuta kiwanja maeneo hayo niliyo yataja hapo juu includes Bunju.

Tafadhari nitumie msg kupitia inbox yangu kwamba kiwanja kiko wapi, kina ukubwa gani.

Hints, I need more than one plot, so advise me accordingly.

Nitumie namba ya simu na nitakupigia within 24 hours.

Asanteni sana.

Mtanganyika mwenzenu.
 
vipi bunju hutak mana vpo tele wewe 2u
 
Mkuu bunju safi, wana Jamii kwenye hiyo list hapo ongeza Bunju. Shida ni eka moja, lakini naweza kununua nusu eka mbili sehemu tofauti.

Nashukuru kwa msaada wana JF wenzangu. so far, nimepewa namba ya dalali mmoja ambae amenipa website yake lakini hakuna kiwanja katika maeneo ninayo taka.
 
Back
Top Bottom