Nafuu tusiwe na utambulisho kuliko singeli kuwa utambulisho wa muziki wa Tanzania

Nafuu tusiwe na utambulisho kuliko singeli kuwa utambulisho wa muziki wa Tanzania

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475


Waziri amekengeuka. Wametumia kigezo gani kuifanya singeli ndiyo alama ya Taifa?

Muziki wenyewe umejaa matusi nafuu ingekuwa taarab kwa kuwa yenyewe ina mfumbo. Singeli huwezi kusikiliza na watu unaowaheshimu kama wazazi au watoto, abadan.

Pili ukikuta muziki wenyewe unavyochezwa, ni mtindo wa kukosa maadili tu. Wanawake wanavaa madera mostly bila chupi, halafu wanakamata ardhi then makalio yanakuwa juu ndiyo wanaanza kuyatikisa

Kuna wimbo wa Dulla Makabila una mstari ufuatao "nakupenda wewe na huyo bwanako" ndio uwapelekee duniani utawaeleza maana yake nini? Ujinga mtupu.

Wadau wa muziki mshaurini Waziri Kabudi asitishe UCHAFU huu
 
Wamegundua pwani mnamkosoa sana Wasira hivyo kuja na hii mbinu kuwashika kuelekea uchaguzi baada hapo hutasikia tena jambo hili sawa na vazi la taifa fedha nyingi zimetumika kulifufua pale wadau wakiwa na njaa ya pesa ila baada kuzipata mchakato hufa hii ndo bongoland
 
View attachment 3241007

Waziri amekengeuka. Wametumia kigezo gani kuifanya singeli ndiyo alama ya Taifa?

Muziki wenyewe umejaa matusi nafuu ingekuwa taarab kwa kuwa yenyewe ina mfumbo. Singeli huwezi kusikiliza na watu unaowaheshimu kama wazazi au watoto, abadan.

Pili ukikuta muziki wenyewe unavyochezwa, ni mtindo wa kukosa maadili tu. Wanawake wanavaa madera mostly bila chupi, halafu wanakamata ardhi then makalio yanakuwa juu ndiyo wanaanza kuyatikisa

Kuna wimbo wa Dulla Makabila una mstari ufuatao "nakupenda wewe na huyo bwanako" ndio uwapelekee duniani utawaeleza maana yake nini? Ujinga mtupu.

Wadau wa muziki mshaurini Waziri Kabudi asitishe UCHAFU huu
Naamini Waziri Prof Palamagamba Kabudi, mwanasheria mbobezi, mwanahistoria mkomavu na Mzee wa Kanisa la Anglican Tanzania, ameletewa tu makaratasi asaini.

Siamini kama amewahi kuingia kwenye Tamasha la muziki wa singeli akaona mwenyewe jinsi muziki huo ulivyo wa kihuni.

Kama kuna watu walio karibu naye nashauri wampeleke kwenye Tamasha lolote aingie akiwa in disguise, naamini atabadili msimamo.

Tanzania kutambulishwa na muziki wa singeli ni UHAYAWANI
 
Naamini Waziri Prof Palamagamba Kabudi, mwanasheria mbobezi, mwanahistoria mkomavu na Mzee wa Kanisa la Anglican Tanzania, ameletewa tu makaratasi asaini.

Siamini kama amewahi kuingia kwenye Tamasha la muziki wa singeli akaona mwenyewe jinsi muziki huo ulivyo wa kihuni.

Kama kuna watu walio karibu naye nashauri wampeleke kwenye Tamasha lolote aingie akiwa in disguise, naamini atabadili msimamo.

Tanzania kutambulishwa na muziki wa singeli ni UHAYAWANI
Ngoja siku binti au ndg yake wa kike aende kwenye mziki huoo
Lzm atapigw mtungooo

Ova
 
View attachment 3241007

Waziri amekengeuka. Wametumia kigezo gani kuifanya singeli ndiyo alama ya Taifa?

Muziki wenyewe umejaa matusi nafuu ingekuwa taarab kwa kuwa yenyewe ina mfumbo. Singeli huwezi kusikiliza na watu unaowaheshimu kama wazazi au watoto, abadan.

Pili ukikuta muziki wenyewe unavyochezwa, ni mtindo wa kukosa maadili tu. Wanawake wanavaa madera mostly bila chupi, halafu wanakamata ardhi then makalio yanakuwa juu ndiyo wanaanza kuyatikisa

Kuna wimbo wa Dulla Makabila una mstari ufuatao "nakupenda wewe na huyo bwanako" ndio uwapelekee duniani utawaeleza maana yake nini? Ujinga mtupu.

Wadau wa muziki mshaurini Waziri Kabudi asitishe UCHAFU huu
Hawa watu hakuna hata kitu kimoja wanafanya chenye kuonyesha wana akili. Haya mambo huamuliwa na wananchi na siyo viongozi kuwalazimisha wananchi. Kwanza hiyi singeli ipo Dar tu au niseme mikoa ya Pwani tu.
 
Back
Top Bottom