Nagawa DAWA YA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME NA KUONGEZA HAMU YA TENDO

Zero One Two

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2007
Posts
9,346
Reaction score
3,028
dawa hiyo nimetumia KEMIA IFUATAYO
  1. PILIPILI + PARACHICHI + NDIZI = msukumo wa usambazaji damu mwilini, kuongeza uwezo wa mtu kufanya tendo la ndoa ni Parachichi, uimara wa misuli ya mwili ambayo inatajwa kuwa ni sehemu kuu na yenye muhimu katika kujamiiana.
  2. CHOKOLETI + POMEGRANATE + MVINYO MWEKUNDU + MBEGU ZA MATUNDA = uchangamfu mwilini, kuamsha mishipa ya fahamu na kuweka mawasiliano sahihi ya mwili na hivyo kumuongezea mtu uwezo kwa kufanya tendo la ndoa kwa hamasa kubwa, kuongeza msukumo wa damu, kuondoa ACID
  3. VANILLA = Vanila husaidia kuamasha hamasa mwili
  4. Pweza na chaza
  5. Karanga na Asali na kiroba cha konyagi na panadol na ugali wa donaa

hapo mix # 1+2+3+4+5 = te te te te teh, sifundishi theory nenda kajaribuuuu
, N:B ukishindwa ni PM jinsi ya kunipata nikupe maujanja
 
mh! brother hapo unataka ku muua mwenzako au? maana sipati picha mibao itakavyo mwagika, inaweza jaa kwa chupa ya chai
 
We ndo dokta gani vileee?ongeza na dawa za mvuto kwa mpenzi kumrudisha mpenzi aliyekupiga kibuti fedha nje nje utapata changamka dada!
 
Mbona kila dawa ya kuongeza nguvu ni kwa wanaume tu, kwanini na wadada nao tunawasahau mara nyingi wanalalama hawafiki kilele.
 
We ndo dokta gani vileee?ongeza na dawa za mvuto kwa mpenzi kumrudisha mpenzi aliyekupiga kibuti fedha nje nje utapata changamka dada!
Unitakii mema we shoga? Unataka nipate Ban kwa kukutukana kua wewe ni ******?
 
We ndo dokta gani vileee?ongeza na dawa za mvuto kwa mpenzi kumrudisha mpenzi aliyekupiga kibuti fedha nje nje utapata changamka dada!

Chukua Picha yake, halafu igundishe na ya kwako kwa asali. Toboa dafu kwenye tundu la asili zidumbukize Ziba tundu halafu utafute sehemu nzuri ufukie dafu. Ukumbuke ulipofukia ili ukimchoka ukafukue na kuzikausha picha baadae uzitenganishe. La sivyo itakula kwako kishenzi. :ballchain:
 

We muhaya nahisi ndo uliyeweka tangazo la mganga toka naijeria wewe, inaonekana umebobea kwenye fani
 

Ndo maana kuna siku nilikuta dafu limefukiwa nje ya nyumba yangu ila sikulichunguza nikahisi inawezekana aliyelifukia alijua mnazi utaota kwa njia ile. Kweli dunia uwanja wa fujo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hahaaa we muhaya wewe mubaya we mbayaa, i like you
 
Hussein Kairuk wa Kino...... Mmh....hayo madawa ni nooma mana yanaweza kufanya mtu ukagonga hadi ukapiz dam
 
Huu uzi una viewrs 14k but 18 replies kuna kitu umejifunza hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…