Nagombea nafasi ya Urais CWT

Nagombea nafasi ya Urais CWT

balimar

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2015
Posts
7,743
Reaction score
13,657
Naomba sana kura yako,
IMG-20200522-WA0094.jpg

Mimi naweza kuwa Rais Bora kabisa wa Chama cha Walimu
Nina SHAHADA ya Uzamili katika Elimu toka Udsm 2017
Pia nina degree na Cheti cha Ualimu nilichosomea Ilonga ttc 2003.

Uzoefu
Ni mwenyekiti wa Cwt Wilaya kwa sasa
Nina uzoefu kwenye uundaji wa vikundi na uwekaji wa Akiba kutoka Tasaf kama National Facilitator
Ninahudumu kama Afisa Elimu Kata kwa miaka kadhaa
Nina uzoefu wa kufundisha darasani na nazijua changamoto za walimu kwa maana ninaziishi.

Ninachoahidi
Ninajipanga kukifanya chama cha walimu kukaa kitaasisi zaidi kwa kuwaona walimu kuwa ni sehemu ya chama na sio wasindikizaji. Hapo nitaboresha usimamizi wa Miradi ya chama na kubuni Miradi mipya.
Pia, nitalielekeza jicho langu kwenye maoni ya katiba mpya nikiwa najua kama nyenzo muhimu ya kuendesha taasisi inayoheshimu mawazo ya wajumbe na maslai mapana ya Elimu kwa kila mtanzania kama inavyoainishwa kwenye Elimu bure.

Naomba sana kura yako au pia unaweza kutangaza kwa walimu wengine ambao watahusika katika kupiga kura.
 
Naomba sana kura yako
Mimi naweza kuwa Rais Bora kabisa wa Chama cha Walimu
Nina SHAHADA ya Uzamili katika Elimu toka Udsm 2017
Pia nina degree na Cheti cha Ualimu nilichosomea Ilonga ttc 2003.

Uzoefu
Ni mwenyekiti wa Cwt Wilaya kwa sasa
Nina uzoefu kwenye uundaji wa vikundi na uwekaji wa Akiba kutoka Tasaf kama National Facilitator
Ninahudumu kama Afisa Elimu Kata kwa miaka kadhaa
Nina uzoefu wa kufundisha darasani na nazijua changamoto za walimu kwa maana ninaziishi.

Ninachoahidi
Ninajipanga kukifanya chama cha walimu kukaa kitaasisi zaidi kwa kuwaona walimu kuwa ni sehemu ya chama na sio wasindikizaji. Hapo nitaboresha usimamizi wa Miradi ya chama na kubuni Miradi mipya.
Pia, nitalielekeza jicho langu kwenye maoni ya katiba mpya nikiwa najua kama nyenzo muhimu ya kuendesha taasisi inayoheshimu mawazo ya wajumbe na maslai mapana ya Elimu kwa kila mtanzania kama inavyoainishwa kwenye Elimu bure.

Naomba sana kura yako au pia unaweza kutangaza kwa walimu wengine ambao watahusika katika kupiga kura.
Mkuu uchaguz huo ni lini ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba sana kura yako
Mimi naweza kuwa Rais Bora kabisa wa Chama cha Walimu
Nina SHAHADA ya Uzamili katika Elimu toka Udsm 2017
Pia nina degree na Cheti cha Ualimu nilichosomea Ilonga ttc 2003.

Uzoefu
Ni mwenyekiti wa Cwt Wilaya kwa sasa
Nina uzoefu kwenye uundaji wa vikundi na uwekaji wa Akiba kutoka Tasaf kama National Facilitator
Ninahudumu kama Afisa Elimu Kata kwa miaka kadhaa
Nina uzoefu wa kufundisha darasani na nazijua changamoto za walimu kwa maana ninaziishi.

Ninachoahidi
Ninajipanga kukifanya chama cha walimu kukaa kitaasisi zaidi kwa kuwaona walimu kuwa ni sehemu ya chama na sio wasindikizaji. Hapo nitaboresha usimamizi wa Miradi ya chama na kubuni Miradi mipya.
Pia, nitalielekeza jicho langu kwenye maoni ya katiba mpya nikiwa najua kama nyenzo muhimu ya kuendesha taasisi inayoheshimu mawazo ya wajumbe na maslai mapana ya Elimu kwa kila mtanzania kama inavyoainishwa kwenye Elimu bure.

Naomba sana kura yako au pia unaweza kutangaza kwa walimu wengine ambao watahusika katika kupiga kura.

Mbona sura ako haina nuru? We huwez shinda


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya Mkwawa, Shaban Robati, Kingalu au Mkwawa, wewe Ulikuwa bweni lipi?
 
ni kwamba walimu wa jf mmesusia huu uzi au?
kila la kheri mkuu...
 
umesema kuwa wewe kwa Sasa Ni cwt chairperson, hebu tuambie Ni wilaya ipi?
 
Huu Uzi naona Kama inapiizwa.
Nimeona mahalo wagombea wale wale waliokuwepo wanataka Tena na wamesahau ushauri wa cag kwamba uongozi ni kubadilishana ili kiboresha ufanisi.
Ngazi ya WILAYA ndo wizi mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom