falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
- Thread starter
-
- #101
Hehehe Sasawa mkuu
Wako formu lakini
MK254 mimi sina family,almost nakaa pekee yangu katika room pamoja na bafu tena gorofani,naweza kulipa hiyo hata kwa hesabu ya siku tatu ya matatu yangu..mi napenda kukaa doniie (donholm)
niliwaambia hawa wakina MK254 na sam999 NairobiWalker nisipomgonga huddah monroe na biashara sifanyi tena
Is Rose Muhando and her friend one of those? The name Muhando is also very popular among the Luhya and I once listened to a song they did in their mother tongue and it was 100% Luhya.[/QUOTE MK254
Ooh safi sana, Kumbe nyie Cousins (binamu) na waTZ ?!!! Lakini mbona mnaparuana daily..? falcon mombasa unganisha udugu upo kwa shangazi huko......
Ooh safi sana, Kumbe nyie Cousins (binamu) na waTZ ?!!! Lakini mbona mnaparuana daily..? falcon mombasa unganisha udugu upo kwa shangazi huko......
Ndio nakwambia nyumba ya 10,000 huku Nairobi hutumiwa na wanafunzi wa vyuo, yaani babysitters. Lakini wewe umesema una mtoto, meaning unafaa chumba chenye hadhi cha bedroom mbili na hiyo ni kuanzia 18k hapa Kasarani. Ungeendelea kuhangaika Mombasa kabla uanze kunusa nusa Nairobi.
Yes, indeed lakini hakuna limits?! yaani utani hadi mnavuana nguo.... mmmh !!Wajua utani ndio undugu..............kama hamfanyiani utani na nduguyo basi huyo sio nduguyo.
Wakuu kutokana na shughuli zangu za kibiashara sasa nimeona ni vema nikiamia nairobi kufungua depot hapo hii ni baada ya Mombasa kuiweka kiganjani.
Ikumbukwe nilisomea human resource na diplomasia lakini nimechagua kuwa mfanyabiashara, mimi ni dealer muuzaji/dalali/mkulima wa viungo vyote vya chakula haswa hiriki na karafuu zaidi katika Mombasa yote hadi Malindi na Lamu.
Hivyo watu wa Nairobi mnipokee kijana wenu. Sina familia japo nina kabinti nilimzalisha dada wa kiarabu hivyo kutokana kuwa dini tofauti nimeacha binti yangu afike miaka saba ndio nimpeleke bongo kwa bibi/nyanya yake.
Hivyo almost naishi peke yangu, mnielekeze pahali nitaweza kupata appartment kwenye usalama bila usumbufu pia pawe karibu na dada zetu wale wauzaji (ujana maji ya moto).
Mwambieni huddah ajiandae nakuja nai MK254 sam999 NairobiWalker Hoodla Iconoclastes
Yes, indeed lakini hakuna limits?! yaani utani hadi mnavuana nguo.... mmmh !!
sawa nitatafuta appartment ya 25000ksh na nitalipa kwa miezi sita,manake naona nyie watu mmejaaliwa dharau
mkuu kenya washamba ni wengi sana,mi napelekea wateja zangu pale eastleigh tunafanya biashara ya viungo kisha wananipa mabint zao wakisomali
chunga nisikutane nae lazima nimpe mimba
Haya jaribu bahati yako dadangu ako Thika mwingine ako Embu mimi niko Thika kwa sasa lakini wakati mwingi utanipata nairobi kwa bibi kwahivyo kuwaona ni rahisi lakini kuwapata ni vingumu kwanza wakijua wewe mtz,hauna bahati
with 10k you won't even get Huddah's house girl. lol
Wajua utani ndio undugu..............kama hamfanyiani utani na nduguyo basi huyo sio nduguyo.
ungejua tayari nimewah kumeet na huddah hapo skyluxx nairobi
msukuma akizungumza unaweza ukamuelewa
Asikudanganye bwana wewe nenda anajua mfuko wako? kama unafikia kwa nduguMK254 mimi sina family,almost nakaa pekee yangu katika room pamoja na bafu tena gorofani,naweza kulipa hiyo hata kwa hesabu ya siku tatu ya matatu yangu..mi napenda kukaa doniie (donholm)
DU! Amakweli vitukoNdio nakwambia nyumba ya 10,000 huku Nairobi hutumiwa na wanafunzi wa vyuo, yaani babysitters. Lakini wewe umesema una mtoto, meaning unafaa chumba chenye hadhi cha bedroom mbili na hiyo ni kuanzia 18k hapa Kasarani. Ungeendelea kuhangaika Mombasa kabla uanze kunusa nusa Nairobi.
Ndugu yangu nchi zawatu sifa huziwezi kaka utatoboa mfuko bure Ukija Bongo uanze kutusumbua VIKOBAsawa nitatafuta appartment ya 25000ksh na nitalipa kwa miezi sita,manake naona nyie watu mmejaaliwa dharau