Naheshimu Kipaji cha Saido Ntibanzokinza ila asitake Kung'ang'ania kila Jambo la Uwanjani alifanye Yeye tu

Naheshimu Kipaji cha Saido Ntibanzokinza ila asitake Kung'ang'ania kila Jambo la Uwanjani alifanye Yeye tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Jana kuna Mipira kama Mitano ( 5 ) tena Muhimu niliona kama angewaachia Wengine wapige huenda kuna Jambo la Faida lingetokea kwa Simba SC ila akawa anang'ang'ania Yeye na Matokeo yake Mipira yote akaiharibu.

Saido Ntibanzokinza asilazimishe sana Ufalme ndani ya Simba SC kwani hata Wafalme waliopita Simba SC akina Okwi na huyu Chama hawakuupata ndani ya Msimu Mmoja bali ni baada ya Mwaka hivyo nae atufanyie Kwanza Kazi na Sisi Wenyewe ndiyo tunajua ni lini tutamtunuku nae huo Ufalme anaoulazimisha.
 
Faulo za mbali apige Kapombe. Za Karibu apige Ntibazonkiza
 
Kungangania ndio wanavoongea bujumbura, nyanzalaki hadi mitaa ya kamenge kwahiyo saido hapo anaelewa vizuri, waulize waha kama wanaweza kutamka neno Kung’ang’ania lazima waseme kungangania au neno nne mrundi na muha wanatamka Yine
 
Kungangania ndio wanavoongea bujumbura, nyanzalaki hadi mitaa ya kamenge kwahiyo saido hapo anaelewa vizuri, waulize waha kama wanaweza kutamka neno Kung’ang’ania lazima waseme kungangania au neno nne mrundi na muha wanatamka Yine
Nimecheka sana Mkuu. Haya bhana!!
 
Kungangania ndio wanavoongea bujumbura, nyanzalaki hadi mitaa ya kamenge kwahiyo saido hapo anaelewa vizuri, waulize waha kama wanaweza kutamka neno Kung’ang’ania lazima waseme kungangania au neno nne mrundi na muha wanatamka Yine
We jamaa unautani na Waha.
 
Jana kuna Mipira kama Mitano ( 5 ) tena Muhimu niliona kama angewaachia Wengine wapige huenda kuna Jambo la Faida lingetokea kwa Simba SC ila akawa anang'ang'ania Yeye na Matokeo yake Mipira yote akaiharibu.

Saido Ntibanzokinza asilazimishe sana Ufalme ndani ya Simba SC kwani hata Wafalme waliopita Simba SC akina Okwi na huyu Chama hawakuupata ndani ya Msimu Mmoja bali ni baada ya Mwaka hivyo nae atufanyie Kwanza Kazi na Sisi Wenyewe ndiyo tunajua ni lini tutamtunuku nae huo Ufalme anaoulazimisha.

Samahani katika Headline nimeandika Kungangania badala ya Kung'ang'ania na nitashukuru Moderators wakinisaidia Kunirekebisha hapo.
mnamsujudia wenyewe sasa acha awapande kichwani
 
Jana Ntibazonkiza kalemewa kwasababu ya mfumo wa kocha, kocha katumia forward wawili ambao hawafanyi lolote kwenye pressing, matokeo yake viuongo wa Dodoma wakamzidia.
 
Kungangania ndio wanavoongea bujumbura, nyanzalaki hadi mitaa ya kamenge kwahiyo saido hapo anaelewa vizuri, waulize waha kama wanaweza kutamka neno Kung’ang’ania lazima waseme kungangania au neno nne mrundi na muha wanatamka Yine
Waseme Ng'ombe
 
Jana kuna Mipira kama Mitano ( 5 ) tena Muhimu niliona kama angewaachia Wengine wapige huenda kuna Jambo la Faida lingetokea kwa Simba SC ila akawa anang'ang'ania Yeye na Matokeo yake Mipira yote akaiharibu.

Saido Ntibanzokinza asilazimishe sana Ufalme ndani ya Simba SC kwani hata Wafalme waliopita Simba SC akina Okwi na huyu Chama hawakuupata ndani ya Msimu Mmoja bali ni baada ya Mwaka hivyo nae atufanyie Kwanza Kazi na Sisi Wenyewe ndiyo tunajua ni lini tutamtunuku nae huo Ufalme anaoulazimisha.
anachotaka yeye ni kuwaumiza yanga mwisho wa siku ataiumiza timu yenu
 
Kungangania ndio wanavoongea bujumbura, nyanzalaki hadi mitaa ya kamenge kwahiyo saido hapo anaelewa vizuri, waulize waha kama wanaweza kutamka neno Kung’ang’ania lazima waseme kungangania au neno nne mrundi na muha wanatamka Yine
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]we jamaa waha si watu wazuri watakuchukua msukule sasa ivi!
 
Hapa naona bora tukubaliane jambo moja tu, kuna vitu vya wachezaji uwanjani hatuwezi kuvibadilisha, ikiwemo tabia zao...

Ilianzia kwa Sakho...

Akafuata Okrah....

leo Saidoo.....

Hapa nikusubiri tuone kesho atakuwa nani..
 
Back
Top Bottom