William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Historia haikuwekwa wazi, kitu ambacho Nyerere alitahadharisha watu wenye misimamo mikali hawafai kuwa viongozi. Hata moja ya sababu ya kumchagua Mwinyi kumrithi ni busara na unyenyekevu wake.
Wanamageuzi hawawezi kunielewa kirahisi ila leo nakuja na mifano rahisi labda sababu wote humu sio wanahistoria.
1. DR Congo ilipofikia ni matokeo ya Waziri Mkuu na mwanaharakati aliyekubalika sana Kongo na wakongo wengi sababu walikuwa mbumbumbu.
Lumumba alitumia nguvu na kejeli, siku ya uhuru alitoa hotuba iliyotoa uhai wake, hakuangalia nguvu za mbeligiji na zake, alijaribu kuzima wakivu waliotaka kujitenga kwa mabavu. Walimsifu kwa hotuba iliyojaa hasira na kisasii lakini haikuwa na uhalisia.
2. Idd Amini Dada aliingia kwa mapinduzi yaliyopokelewa kwa shangwe na Waganda wengi, ila kutokuwa na simile, kumtukana kiongozi wa Afrika Kusini wa baguzi hadharani kwenye mkutano wa OAU Addis Ababa Ethiopia, Kugombana na Israeli na alitumia nguvu kubwa na kupambana na rushwa na uhalifu, hali iliyosababisha kuua hata wasio na hatia na kukosana na wahisani wake kulifanya kuyumba uchumi na kuchukiwa na kila mtu.
3. Tomasi Sankara. Anachukuliwa na mbumbumbu wengi kama mwanamapinduzi mzalendo. Ila wasomi na wataalamu wa uongozi walimchukulia mshenzi na mtu asiyejua lolote. Walituhumu kwa kuruhusu mahakama za watu. Yani jamii tena isiyo na elimu yoyote ya sheria inaweza kutoa hukumu dhidi ya wahalifu. Alizuia kuingia mitumba kwenye taifa masikini ambalo raia hawana uwezo wa kununua nguo. Ndiye aliyesema huwezi kuongoza taifa bila kujifanya kichaa.
Aliuza magari ya serikali akaanza kutembelea baiskeli. Aliuawa kizembe tu na rafiki yake wa karibu. Kweli raisi uzungukie taifa kwa baiskeli?
Wako wengi wanaharakati, akina savimbi, Samora Machel, Adolf Hitler. Hawa ni watu wasiochagua kauli ya kukosoa, wanaotafuta kauli ngumu dhidi ya wapinzani wao.
Watu hao hawapaswi kuwa viongozi wa juu labda watendaji tu ndani ya serikali inayoongozwa na mtu mwenye busara.
Tundu hana la kujifunza kutoka kwa Martin Luther King au Mandela, Walipigania haki kwenye mataifa yaliyoua waziwazi wanaharakati. Kufunga na kuonea watu weusi, ila harakati zao zilikuwa za kupigania usawa na haki na si uongozi, Harakati za Lissu na Chadema nyingi ni za kupigania uongozi. Namnukuu Jemsi Mapalala aliyejikita kupigania wattu.
Mfano lissu alitetea bunge kupitisha sheria ya mafao wakati wabunge wangeweza vizuri tu kulazimisha kikokotoo kuingia kwenye sheria ila hawakufanya hivyo
Tuangalie nukuuu za mandela mwaka 1964 kwenye kesi yake ya uhaini.
Nimekuwa nikipigana dhidi ya utawala unaopendea makaburu, pia nimekuwa nikipinga utawala utakaowapendelea waafrika, nakama hili ni kosa nipo tayari kuuawa.
"Binadamu hazaliwi na chuk bali hufundishwa kuchukia Kama wanaweza kujifunza kuchukia, basi
wanaweza kufundishwa kupenda, kwa
sababu kwa kawaida ni asili yake"
upendo kuja kwa moyo wa mwanadamu
kuliko kinyume chake"
Martini Luther alinukuliwa kwenye nukuu zilizotaka usawa, kama hotuba ya ninandoto. Ndoto ya mwanae kuja kupata fulsa kwa matendo na uwezo wao na si rangi zao.
Pamoja na kupambana dhidi ya tawala katili lakini watu hawa hawakuwahi kutoa nukuu za kuwatolea makali Makaburu au viongozi wa marekani, kusema wazi kuwa lazma waondoke. Ukweli na harakati za kupigania haki zilifanya kuwa maarufu sana na kupendwa na wazungu au ccm kama chadema wanavyowaona.
Tundu hana spich za kuunganisha bali kujenga chuki tu. Hana maono ya uongozi ya kutokuchukia, anaonesha chuki za wazi zidi ya ccm badala ya kuwaita ndugu zetu kutoka ccm ambao kimsigi ni watanzania wenzetu tunaotofautiana mitazamo yeye uwachukulia maadui na huwaita kwa kejeri " maccm"
Kwa maono hayo usitegemee watu hao watukuacha uchukue nchi ili baadae uwaadhibu
Pitia harakati za kiongozi wa upinzani Masood Abiora wa Nigeria mitazamo mikali dhidi ya utwala ulimnyima nchi.
Najua nchi za magaribi haziwezi kukaa nyuma yake
Wanamageuzi hawawezi kunielewa kirahisi ila leo nakuja na mifano rahisi labda sababu wote humu sio wanahistoria.
1. DR Congo ilipofikia ni matokeo ya Waziri Mkuu na mwanaharakati aliyekubalika sana Kongo na wakongo wengi sababu walikuwa mbumbumbu.
Lumumba alitumia nguvu na kejeli, siku ya uhuru alitoa hotuba iliyotoa uhai wake, hakuangalia nguvu za mbeligiji na zake, alijaribu kuzima wakivu waliotaka kujitenga kwa mabavu. Walimsifu kwa hotuba iliyojaa hasira na kisasii lakini haikuwa na uhalisia.
2. Idd Amini Dada aliingia kwa mapinduzi yaliyopokelewa kwa shangwe na Waganda wengi, ila kutokuwa na simile, kumtukana kiongozi wa Afrika Kusini wa baguzi hadharani kwenye mkutano wa OAU Addis Ababa Ethiopia, Kugombana na Israeli na alitumia nguvu kubwa na kupambana na rushwa na uhalifu, hali iliyosababisha kuua hata wasio na hatia na kukosana na wahisani wake kulifanya kuyumba uchumi na kuchukiwa na kila mtu.
3. Tomasi Sankara. Anachukuliwa na mbumbumbu wengi kama mwanamapinduzi mzalendo. Ila wasomi na wataalamu wa uongozi walimchukulia mshenzi na mtu asiyejua lolote. Walituhumu kwa kuruhusu mahakama za watu. Yani jamii tena isiyo na elimu yoyote ya sheria inaweza kutoa hukumu dhidi ya wahalifu. Alizuia kuingia mitumba kwenye taifa masikini ambalo raia hawana uwezo wa kununua nguo. Ndiye aliyesema huwezi kuongoza taifa bila kujifanya kichaa.
Aliuza magari ya serikali akaanza kutembelea baiskeli. Aliuawa kizembe tu na rafiki yake wa karibu. Kweli raisi uzungukie taifa kwa baiskeli?
Wako wengi wanaharakati, akina savimbi, Samora Machel, Adolf Hitler. Hawa ni watu wasiochagua kauli ya kukosoa, wanaotafuta kauli ngumu dhidi ya wapinzani wao.
Watu hao hawapaswi kuwa viongozi wa juu labda watendaji tu ndani ya serikali inayoongozwa na mtu mwenye busara.
Tundu hana la kujifunza kutoka kwa Martin Luther King au Mandela, Walipigania haki kwenye mataifa yaliyoua waziwazi wanaharakati. Kufunga na kuonea watu weusi, ila harakati zao zilikuwa za kupigania usawa na haki na si uongozi, Harakati za Lissu na Chadema nyingi ni za kupigania uongozi. Namnukuu Jemsi Mapalala aliyejikita kupigania wattu.
Mfano lissu alitetea bunge kupitisha sheria ya mafao wakati wabunge wangeweza vizuri tu kulazimisha kikokotoo kuingia kwenye sheria ila hawakufanya hivyo
Tuangalie nukuuu za mandela mwaka 1964 kwenye kesi yake ya uhaini.
Nimekuwa nikipigana dhidi ya utawala unaopendea makaburu, pia nimekuwa nikipinga utawala utakaowapendelea waafrika, nakama hili ni kosa nipo tayari kuuawa.
"Binadamu hazaliwi na chuk bali hufundishwa kuchukia Kama wanaweza kujifunza kuchukia, basi
wanaweza kufundishwa kupenda, kwa
sababu kwa kawaida ni asili yake"
upendo kuja kwa moyo wa mwanadamu
kuliko kinyume chake"
Martini Luther alinukuliwa kwenye nukuu zilizotaka usawa, kama hotuba ya ninandoto. Ndoto ya mwanae kuja kupata fulsa kwa matendo na uwezo wao na si rangi zao.
Pamoja na kupambana dhidi ya tawala katili lakini watu hawa hawakuwahi kutoa nukuu za kuwatolea makali Makaburu au viongozi wa marekani, kusema wazi kuwa lazma waondoke. Ukweli na harakati za kupigania haki zilifanya kuwa maarufu sana na kupendwa na wazungu au ccm kama chadema wanavyowaona.
Tundu hana spich za kuunganisha bali kujenga chuki tu. Hana maono ya uongozi ya kutokuchukia, anaonesha chuki za wazi zidi ya ccm badala ya kuwaita ndugu zetu kutoka ccm ambao kimsigi ni watanzania wenzetu tunaotofautiana mitazamo yeye uwachukulia maadui na huwaita kwa kejeri " maccm"
Kwa maono hayo usitegemee watu hao watukuacha uchukue nchi ili baadae uwaadhibu
Pitia harakati za kiongozi wa upinzani Masood Abiora wa Nigeria mitazamo mikali dhidi ya utwala ulimnyima nchi.
Najua nchi za magaribi haziwezi kukaa nyuma yake