Nahisi hapa Harmonize anataka aje atupige na kitu Kizito

Nahisi hapa Harmonize anataka aje atupige na kitu Kizito

master of cities

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2015
Posts
429
Reaction score
625
Jamaa Ngoma yake anayotaka kutoa ameiweka kwenye awaiting mda Sana na imepata view laki moja , nahs akija kutoa Ngoma ataunganisha na Hz views ionekane Ngoma imetambaa Kwa mda mfupi na kupiga namba Kali ya views..... Nawaza tuu , wataalamu wa haya mambo mtujuze.

IMG_20230211_231024.jpg
Screenshot_2023-02-11-17-13-45-463_com.google.android.youtube.jpg
 
Hiyo itakuwa post nyingine tofauti kabisa. Akiitoa hiyo video, itaanzia na views 0.
 
Ila Harmo anamichezo michafu ambayo ipo wazi kabisa Unaweza kukuta video yake inapiga mil 1 kwa muda mchache ukija kuiangalia kwa mwezi mzima views wamestaki hawatembei
 
Uongo ndio na kama ni kweli basi ni tabia ya Boss wako/wake wa zamani
Wewe unaongea ushabiki wakati mimi naongea facts angalia hizo nyimbo za mondi alizopiga views wengi kwa muda mchache cheki mwisho wa siku zinakuwa na views wangapi? Waah! Ilipiga views 1M ndani ya 15 hours sasa hivi ina jumla ya views 130M, Inama ilipiga views 1M ndani ya 22 hours sasa hivi ina jumla ya views 119M umeona utofauti wakati harmonize alifikisha 1M ndani ya sec 22 alafu angalia jumla ya views wa wimbo huo ukoje now ndio utajua logic yangu iko huwezi kuniambia wimbo uliopiga sec 22 with 1M unashindwa vipi kufika hata mil 15?
 
Pole inno. Kila mtu na mbinu zake,usiumizwe sana na chuki kwa harmo. Punguza kumfatilia utaona ni vitu vya kawaida. Hizo views unazotaka nikaangalie sina muda ni mara kumi nikadownload kdrama kuliko kufatilia vya kutoa povu
Wewe unaongea ushabiki wakati mimi naongea facts angalia hizo nyimbo za mondi alizopiga views wengi kwa muda mchache cheki mwisho wa siku zinakuwa na views wangapi? Waah! Ilipiga views 1M ndani ya 15 hours sasa hivi ina jumla ya views 130M, Inama ilipiga views 1M ndani ya 22 hours sasa hivi ina jumla ya views 119M umeona utofauti wakati harmonize alifikisha 1M ndani ya sec 22 alafu angalia jumla ya views wa wimbo huo ukoje now ndio utajua logic yangu iko huwezi kuniambia wimbo uliopiga sec 22 with 1M unashindwa vipi kufika hata mil 15?
 
Hivi hatuwezi kiwaunga wasanio weru wote mkonl lazima mmoja umsifie mwingine umkandie?
 
Pole inno. Kila mtu na mbinu zake,usiumizwe sana na chuki kwa harmo. Punguza kumfatilia utaona ni vitu vya kawaida. Hizo views unazotaka nikaangalie sina muda ni mara kumi nikadownload kdrama kuliko kufatilia vya kutoa povu
Sasa mimi nachuki gani na Harmonize? Na kwanini niwe na chuki nae?
 
KWANI HUYO BONGE BADO ANAIMBA? AMEMALIZA MADENI YAKE?

Kakopa tena,ameongeza RR sport ya 2018 na LC ya 2017.

Unaambiwa gari zote hizo ni za mkopo[emoji45][emoji45][emoji45]vijana wa kino 2023
[emoji1313][emoji1313][emoji1313]
IMG_0729.jpg
 
Ila Harmo anamichezo michafu ambayo ipo wazi kabisa Unaweza kukuta video yake inapiga mil 1 kwa muda mchache ukija kuiangalia kwa mwezi mzima views wamestaki hawatembei
hivi aliwahi kukuchukulia demu?
 
Back
Top Bottom