oko majimaji
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 2,079
Kwemaa.
wazoefu nifanye nini ili nisipigwe na kitu kizito hapa hawa nahisi ni wanaija.
wazoefu nifanye nini ili nisipigwe na kitu kizito hapa hawa nahisi ni wanaija.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo chat mbona wewe ndo umewaanza na hiyo "Hi" yako. wamekupa unachotaka unaanza kuchengesha kalio🙄ebhoKwemaa.
wazoefu nifanye nini ili nisipigwe na kitu kizito hapa hawa nahisi ni wanaija.
View attachment 3197365
Haichukui muda utakua unaliaKwemaa.
wazoefu nifanye nini ili nisipigwe na kitu kizito hapa hawa nahisi ni wanaija.
View attachment 3197365
yeye ndio ameanza na mimi nampelekesha kama ivyo.kwa hiyo chat mbona wewe ndo umewaanza na hiyo "Hi" yako. wamekupa unachotaka unaanza kuchengesha kalio🙄ebho
Hapa kwangu nyoka halambi unga.hi! kutana na yahoo boyz! ufunguliwe dunia kuwa unachokitaka.
"........our company need employee from different countries to browse some products to increase the visibility and sales of merchants......."Kwemaa.
wazoefu nifanye nini ili nisipigwe na kitu kizito hapa hawa nahisi ni wanaija.
View attachment 3197365
Kitambo sana. Nimeleta ili wengine pia wawe aware kupitia maoni yenu wadau."........our company need employee from different countries to browse some products to increase the visibility and sales of merchants......."
😂😂 Amazon hawatafuti kutambuliwa kwa kuajiri door to door advertisers bwana block hiyo namba
True hicho kiinglish chenyewe hakijakaa sawaKitambo sana. Nimeleta ili wengine pia wawe aware kupitia maoni yenu wadau.
😹😹😹kwa hiyo chat mbona wewe ndo umewaanza na hiyo "Hi" yako. wamekupa unachotaka unaanza kuchengesha kalio🙄ebho
Si atawapa account no wamuwekee,anapigwa yeye hapo.Nenda ukale aftatu ya bure then uwa block
Kwemaa.
wazoefu nifanye nini ili nisipigwe na kitu kizito hapa hawa nahisi ni wanaija.
Say I will reply in 2050Kwemaa.
wazoefu nifanye nini ili nisipigwe na kitu kizito hapa hawa nahisi ni wanaija.
View attachment 3197365