Nahisi Haus gel wangu ananitega

Mwambie wazi kuwa yeye ni mtoto kwako na ajiheshimu kama anapokuwapo mkeo. Housegirl wa siku hizi wanawinda kuolewa, narudia KUOLEWA na baba zao wanakofanya kazi. Tunaishi nao na tumeyaona hayo. Siku hizi wanafundishana kabisaaaa, kwamba inapotokea nafasi, maza haus apinduliwe wao washike usukani. Tena mwambie asipojirekebisha mkeo akirudi utamuarifu. Mbona mkiwa mmelala na mkeo haji kuwagongea?! Nyambaf kabisa huyo. :spy:
 
makubwa haswaa, yaani ndio waume zetu hawa, kweli nitakuwa tayari kumsamehe mr kwa kosa lingine lolote lakini sio kuvuliana chupi na h/g ..nope nope...akakamate nguchiro huko nje.

Hawa waume zetu hawafai kwa mtindo huu??? Hapa si umpotezee tu jamani mpaka ukafanyie ndani? Wanawake wamejazana ofisini, kwenye biashara zetu bado HG hapana aise ukijaribu nafungasha virago home kwetu. Mpaka ndani tafute nje huko umalizie huko haaa
 
Duh!!!!
Nauheshimu sana ushauri wako, lakini kwa jinsi ninavyompenda mke wangu, kamwe sito diriki kutembea na mwanamke yeyote zaidi yake.

Haya bwana nitakukumbusha hiyo sentensi mika mitano ijayo!
 

Safi kabisa umenena
 

Dada anakutega huyo na mki-do amekunasa na mkeo atamdharau. kama ndoa yako ilikuwa imara itatetereka!
Unaweza kushinda vishawishi kama kweli una nia.
 
kula mzigo halafu ukiona anakuzoea mtimue wala usiumize medula yako kufikiria
 
Jihadhari huenda ni mtego wa mkeo kukupima imani. Pia huenda huyo msichana anataka kukuharibia ndoa yako.
Kuna baadhi ya wasichana wa kazi ukisha tembea naye unamsahau jumla mkeo
Nimependa sana ushauri wako ...
 
Tafuta kitu ya maana kula hata wife akijua mnaweza solve ulizidiwa sio bekitatu..
 
nadhani nimejifunza kitu humu kny hii mada...
1.Ni marufuku kuleta housegirl mkali kushinda wewe mama mwenye nyumba...
2.Ni marufuku kusafiri,na kumuacha housegirl na baba mwenye nyumba tu nyumbani...

ukikikuka hizi sheria mbili,yatakayotokea usimlaumu mtu..LOL:embarrassed:
 
Duh!!!!
Nauheshimu sana ushauri wako, lakini kwa jinsi ninavyompenda mke wangu, kamwe sito diriki kutembea na mwanamke yeyote zaidi yake.
ha ha ha kama ishu ndogo tu ya housegirl unashindwa mahesabu je ukikutana na mapaka fisi nadhani hapo kwenye RED utakuja omba ushauri hapa...
 

Hasa no 2 aise
 
HA HA HA!
nimicheka sana........!

jamaa kaachiwa ''MBOGA'' nyumbani anasua sua
 
kaka no matter what! mpende mkeo mheshimu mkeo hata km kakutega vipi huyo atapita tu, ishinde tamaa mwombe mungu mkeo ni mkeo mtunzie heshima yake. mke hana mfano.
 
Mchane live. Utakavyokuwa unamkwepa yeye ndio atazidi kutafuta matechniques ya kukupata. Nahisi Father house umezidi uhandsome boy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…