Nahisi huyu manzi alitaka kuniambukiza gono makusudi

Nahisi huyu manzi alitaka kuniambukiza gono makusudi

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Last two weeks nilikua na miadi ya kukulana na pisi moja kali sana,lkn ghafla nafsi ikakataa kulana nae..nilivyomwambia demu ghafla akaanza kunichukia eti kwa nini nimekataa kumla nilikua namchora au?
Leo demu yuko hoi kaniambia kapima kaambiwa ana gono so kaanza dozi.
Nawaza hapa alikua na nia ya kunipa gono au?
 
Last two weeks nilikua na miadi ya kukulana na pisi moja kali sana,lkn ghafla nafsi ikakataa kulana nae..nilivyomwambia demu ghafla akaanza kunichukia eti kwa nini nimekataa kumla nilikua namchora au?
Leo demu yuko hoi kaniambia kapima kaambiwa ana gono so kaanza dozi.
Nawaza hapa alikua na nia ya kunipa gono au?

Angekuwa na nia ya kukuambukiza, Leo asingekupa taarifa kwamba anaumwa Gono..
 
Njia panda
Last two weeks nilikua na miadi ya kukulana na pisi moja kali sana,lkn ghafla nafsi ikakataa kulana nae..nilivyomwambia demu ghafla akaanza kunichukia eti kwa nini nimekataa kumla nilikua namchora au?
Leo demu yuko hoi kaniambia kapima kaambiwa ana gono so kaanza dozi.
Nawaza hapa alikua na nia ya kunipa gono au?
 
Hawa mademu wakali wengi ni wagonjwa lakini hawajijui ukigusa tu umeisha.
 
Last two weeks nilikua na miadi ya kukulana na pisi moja kali sana,lkn ghafla nafsi ikakataa kulana nae..nilivyomwambia demu ghafla akaanza kunichukia eti kwa nini nimekataa kumla nilikua namchora au?
Leo demu yuko hoi kaniambia kapima kaambiwa ana gono so kaanza dozi.
Nawaza hapa alikua na nia ya kunipa gono au?
Huyo alitaka kukupa gono la mwisho mwisho kabla hajaanza dozi. Na kwa nini umle mwanamke bila kujikinga, mademu wenyewe hawa wa mjini?
 
Last two weeks nilikua na miadi ya kukulana na pisi moja kali sana,lkn ghafla nafsi ikakataa kulana nae..nilivyomwambia demu ghafla akaanza kunichukia eti kwa nini nimekataa kumla nilikua namchora au?
Leo demu yuko hoi kaniambia kapima kaambiwa ana gono so kaanza dozi.
Nawaza hapa alikua na nia ya kunipa gono au?
GONO linamuuma wapi?
 
Back
Top Bottom