Vijana wanaamini ni ngumu kuishi bila uzinzi ndio maana wengi ni wafu walio hai.Uzinifu au uasherati umeharibu maisha ya wengi...jitahidi kuwa na maadili mema...mwisho wako usiwe wa kujutia
Last two weeks nilikua na miadi ya kukulana na pisi moja kali sana,lkn ghafla nafsi ikakataa kulana nae..nilivyomwambia demu ghafla akaanza kunichukia eti kwa nini nimekataa kumla nilikua namchora au?
Leo demu yuko hoi kaniambia kapima kaambiwa ana gono so kaanza dozi.
Nawaza hapa alikua na nia ya kunipa gono au?
Last two weeks nilikua na miadi ya kukulana na pisi moja kali sana,lkn ghafla nafsi ikakataa kulana nae..nilivyomwambia demu ghafla akaanza kunichukia eti kwa nini nimekataa kumla nilikua namchora au?
Leo demu yuko hoi kaniambia kapima kaambiwa ana gono so kaanza dozi.
Nawaza hapa alikua na nia ya kunipa gono au?
For sureAngekuwa na nia ya kukuambukiza, Leo asingekupa taarifa kwamba anaumwa Gono..
Dah .. hatarUsijali matibabu ni simple tu cefriaxone, doxycycline na azithromycin ila ukipata urethral stricture pia matibabu yapo pia.
Utaki sasa ulikuwa unafwata nini??Sitaki
Kabisa...akiwa na uwezo wa kumudu mahitaji yake kama chakula,mavazi na makazi baasiii...Vijana wanaamini ni ngumu kuishi bila uzinzi ndio maana wengi ni wafu walio hai.
Huyo alitaka kukupa gono la mwisho mwisho kabla hajaanza dozi. Na kwa nini umle mwanamke bila kujikinga, mademu wenyewe hawa wa mjini?Last two weeks nilikua na miadi ya kukulana na pisi moja kali sana,lkn ghafla nafsi ikakataa kulana nae..nilivyomwambia demu ghafla akaanza kunichukia eti kwa nini nimekataa kumla nilikua namchora au?
Leo demu yuko hoi kaniambia kapima kaambiwa ana gono so kaanza dozi.
Nawaza hapa alikua na nia ya kunipa gono au?
GONO linamuuma wapi?Last two weeks nilikua na miadi ya kukulana na pisi moja kali sana,lkn ghafla nafsi ikakataa kulana nae..nilivyomwambia demu ghafla akaanza kunichukia eti kwa nini nimekataa kumla nilikua namchora au?
Leo demu yuko hoi kaniambia kapima kaambiwa ana gono so kaanza dozi.
Nawaza hapa alikua na nia ya kunipa gono au?