Nahisi kaniachia gundu...

Nahisi kaniachia gundu...

inama

Senior Member
Joined
Oct 9, 2021
Posts
181
Reaction score
353
Habarini wana JF

Nilikua namikasa isiyo elezeka kama ifuatavyo:

Mwaka 2017 - nilikutana na mdada flan nkamtongoza akakubali lakin tulikuaja kuachana cz alinikaushia. Mwaka huohuo tena nikaopoa katoto kakanipenda sanaa lakin nkajakugundua kua anamasela wengi mwishowe nayeye akamua kunikaushia cz sijuagi kumwacha mtu

2019 - nkakutana na mdada mwingine lakin hatukudumu sana sababu alienda mkoa wambali kidogo

2020 nkasema ngoja nipumzikee sababu kila napopita nimisukosuko

2021-akatokea mdada mwingine black beauty akanipenda mnoo tukanzisha mahusiano ila nilikutana na misukosuko mingi wakat wa mapenz kwan kunakamchezo alikua anakacheza na wenzake nkamvumilia ili abadilike Ila ikashindikana sikumuacha Ila baada yamuda nikaja kugundua kua anajamaa wake huko kijijini naanampenda sana Mimi nikipotezea mdaa.

Katika mausiano yangu nayake aliniambia kua jamaa wake nimtu wakuamin vitu vya ajabu ajabu kwahyo anaweza kunifanyia kitukibaya nkamua kuachana nae kwan nlishagundua anamtu.

Jamaa alipojua kua nilikua namgefeda dem wake aliishia kulalamika ilankaina isiwekesi nkamwachia. Jamaa nilisha muomba msamaha nakumuambia kua dem alikuja mwenyewe nasikujua kama anamtu akaniambia kansamege ila.

Tokea siku hiyoo mpaka leo hii nimeshatongoza wanawake 23 nakila mmoja ananikatalia nikipiga saund sana naishia kuambiwa sikupendi na sina hisia nawewe namaneno menginemakali ninapo andika ujumbe huu nimesha tongoza wengine wawili ila mwendo niuleule "" sina hisia nawewe na sikupendi""

Sasa najiuliza hii hali inakuaje sababu sahv nimda natafta mwanamke wakumuoa lakin naona kama nagonga mwamba.

Msaada wenu wakuu
 
Mate, you're creating your own demons... Please try to recalibrate your mind.

Point to Pin:
Hakuna mwanamke anayekua na hisia na mwanaume pindi mwanaume anamfuata at the first time hivyo pindi anapokuambia sina hisia nawewe don't take it personal. Wewe ndio unatakiwa umfanye awe na hisia nawe though this take a time since mvumilivu hula mbivu
 
Kaka hamna mtu mwenye GUNDU dunia kaka nilisikilize nisikilize vizuri tafuta hela kaka utakuja kunishukuru hata baada ya miaka 100

Ukiwa na hela unaweza mwambie mwanamke nipo bussy alafu kesho akakupigia tena kaka hela nyoko

Am talking with experience
Broo hayoyote nafanya pesa namwaga zakutosha mtoto nilazma ang'ae mda wote ila ukija upande wakumtongoza napigwa chini
 
Nimehonga mpaka nimechokaa nimejaribu mbinu A,B,C zakuhonga lakin wamegoma

Tuanze na hii mbinu A

A- hapa nidemu anapewa mahitajivyote bila hata kutongozwa,nahakikisha haliishida mbinu hii nimejaribu kwa muda wa mwenzi mmoja ilihata dem hajitongozeshe lakin wapii ,kidume naamua kumueleza malengoyangu juu yake mtoto ananipiga chini

B- Mtoto nampa huduma yakawaida namjalii namfanyia suprz lakin muda wa kutongozwa anasepa

C- mtoto anapata huduma pasipo kutongozwa ila kuliwa mzigoo analiwa haswaa lakin napokuja kumtongoza napigwa chini

Nihayo tuu ndugu zangu
 
Hauko peke yako broo usife moyo, nisha acha kusali kisa nimekosa msichana wa kuoa, kila demu unaye muibukia anakukataria wewe fikiria wasichana wengine wanawabembeleza masela angalau wawape mimba tu basi harafu wewe unasota kwa kubembeleza upate wa kuishi naye, hivi inaima kiasi gani,

Ilifika pahara nikaitupa imani yangu maswala ya ibada nikaacha kabisa but nikaona huu ni ujinga why nisirudi kanisani kuna wenye matatizo zaidi yangu lakini hawajamuacha mungu sembuse mimi, Usikate tamaa hauko pekw yako, mimi mpaka sasa naendelea kukomaa nipate msichana wa kuoa.

USIJE UKAKATA TAMAAA KIZEMBE, MWANAUME HAKUZALIWA KUSHINDWA.
 
Tafuta singo maza akikukatalia nenda katoe gundu haraka ushachomewa mnuka mnuka Hfahaasa
 
Una hela mkuu? Fwedhaa ndiyo sabuni ya gundu hilo, tafuta fwedha rudi kwa hao wanawake 23 mmoja baada ya mwingine..
 
Get the money....get the women.

Katika Falme ya Ufalme.....kila ndoto ya mwanamke huwa nikua Malikia.
 
Tafuta mwanamke wa hadhi yako....hutopata stress za maisha....wewe ni mtu wa kuvaa nguo za mtumba za bei rahisi..hivyo hivyo tafuta mwanamke mvaa nguo za mtumba kama wewe...huyu demu nilienae kwa sasa hajui hata kujipulizia pafyumu za gharama mimi ndie nimeanza kumfundisha..sabuni anazoogea ni hizi wanazotumia kuoshea vyombo..mafuta anayojipaka ni yale makubwaaa ya mgandi..yaani hata lotion..
 
Back
Top Bottom