Nahisi katiba mpya italeta serikali yaumoja wa kitaifa(muungano wa vyama)

Nahisi katiba mpya italeta serikali yaumoja wa kitaifa(muungano wa vyama)

mzambia

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2010
Posts
885
Reaction score
60
Jamani nimejaribu kutafakari nimeona ili ccm wasiachie moja kwa moja madaraka ni lazima kwenyehiyo katiba mpya tunayoililia wataweka kipengele cha serikali ya umoja wa kitaifa ilimradi tu waendelee kuwepo madarakani hata kwa kuchakachua

kwa hilo jamani naomba tuwe makini tusifanye kama walivyofanya wenzetu wa zanzibar.

Nawasilisha.
 
Lakini huo ni mtazamo wangu tu na siipendi kweli serikali ya umoja wa kitaifa

mi nataka kama ni ccm ccm tu? Kama chadema chadema tu? Cuf cuf tu?
 
Moja ya kipengele cha katiba mpya inatakiwa iruhusu muungano wa vyama vya siasa wakati wa uchaguzi inapohitajika. CCM lazima iondoke madarakani kwanza ili kujenga demokrasia ya kweli.
 
Back
Top Bottom