Nahisi kukata tamaa msaada wenu jamani

assante mkuu kwa kunipa moyo
 
Nenda pale natural therapy mkabala na Hindumandal hope tatizo lako litaisha nilipata tatizo kama hilo likiambatana na ulimi kuvimba hadi nashindwa kule
 
Nenda pale natural therapy mkabala na Hindumandal hope tatizo lako litaisha nilipata tatizo kama hilo likiambatana na ulimi kuvimba hadi nashindwa kule
Assante mkuu ntafanya hivyo
 
Mkuu na mimi ninalo ilo tatizo


Lilinianza nahisi mara baada ya kwenda chumvini,,

Ukipata matibabu , utaleta kwenye huu uzi nijue

Maana na mimi bado napambana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu na mimi ninalo ilo tatizo


Lilinianza nahisi mara baada ya kwenda chumvini,,

Ukipata matibabu , utaleta kwenye huu uzi nijue

Maana na mimi bado napambana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu panapo majaaliwa kesho naenda hospital ntakupa feedback
 
Yes mkuu ni maramoja tu katika maisha yangu sikufanya tena naomba msaada wenu wakuu
dah! Mkuu hapa ndipo makosa yanapoanzia kutumia kiungo kisicho stahiki sikuhukumu penda kuogopa vitu vya namna hii sikutishi lkn hii tabia ni chanzo cha kansa ya koo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…