Nahisi mademu zangu wameniloga nifanyeje naomba ushauri wakowa zamani

Sagara

Senior Member
Joined
Apr 23, 2014
Posts
101
Reaction score
15
Mi ni mwanaume miaka 35 naomben ushaur mke wangu kila akibeba mimba znatoka ni mara 4 ss zimetoka na kuhatarisha maisha yake. Ila pia hata nikimpa mimba mwanamke mwingine nazo znatoka tu ni zaid ya wanawake 2 nimewapa mimba nazo zmetoka kila mmoja mimba mbili.

Nahis kunakamchezo kachafu kalichezwa na mademu zangu wa zaman nisipate mtoto. JE NIFANYEJE ILI NIPATE MTOTO NA MKE WANGU? ushaur tafadhal, kejeli utanikatisha tamaa zaid. JION NJEMA
 
Sasa ivi ukimpa ujauzito mkeo mimba haitotoka tena wala kupata matatizo katika ujauzito wake. Pia uende katika nyumba ya ibada wa mmbariki mkeo na wewe, pia usisa hau kutoa sadaka ya shukrani kwa Mungu wako aliyefungua tatizo lako.

 
Duu hapo sidhani utapata msaada kwa doctor bali kwenye nyumba ya ibada coz ni spiritual problem ukatubu kwa yale mabaya uliyoyatenda,kama uliwai kukataa mimba, uliwai kushikiri kwenye kutoa mimba au umewai kwenda kwa mganga.
 
Nenda Hospitali Mkuu Ufanyiwe Vipimo Upate Tiba Utasahau Hali Hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…